Mambo gani yamegunduliwa na Wasomi wa Tanzania?

Profesa Samwel Manyere, aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, alishagundua kitu kikubwa sana na cha kujivunia, ila walio wengi hawajui. Ni kwa sababu huwa hatuna kawaida ya kusoma. Sitakitaja hapa ila nawaachia watu wakitafute wenyewe, kwenye google au wikipedia
Unamaanisha zile incinerator zake alicopy?
 
Nimekujibu kwa lugha sahihi ila wewe ndio huelewi.Unapsema wanasayansi walishaeleza tangu 2010 una maana gani? Je kabla ya 2010 hawakuekeza inavyotokea? Jibu ni kwamba hakuna haypothesis ambayo haijaeleza mpemba effect inavyotokea, hii ina mana kwamba wote walieeza inaavyotokea ila kuthibisha inavyotokea ndio walishindwa. Nakama wameweza eleza na imethibitika now it is not hypothesis it is a law, unaweza kunipa formula zianazothibitisha na zimethibitishwa? Mara ya mwisho nilisoma hizo article za mpemba 2013, was just hypothetical equations. Ni kama Strings theory tu kuna zaidi ya 5 formula zinazoelezea hio theory but hazijaweza kuthibika kuwa ni kweli, ukweli ktk sayansi unaweza kuwa uongo kwa hio mtu kueleza haithibiki kuwa kweli science is for criticisms. Hivi theory za Origin of the universe kuna mtu kathibitisha kuwa ni kweli mbona watu wameeleza sana.Kwa hio, we we utakuwa unapokea tu jambo kisa mwanasayansi kaeleza?
Nadhani umeelewa japo unadhani unaelewa sana kuliko wengine.
"hakuna haypothesis ambayo haijaeleza mpemba effect inavyotokea"

Wewe unajua hypothesis ngapi, na ngapi kati ya hizo zimeeleza hypothesis ya Mpemba effect inavyotokea, na unajuaje unazozijua wewe ni zote?

Hypothesis inayoeleza ushuzi wa ng'ombe unavyojaza methane hewani na kuzidisha global warming nayo inaeleza Mpemba Effect inavyotokea?
 
wamegundua na hii
20210126_183804.jpg
 
Back
Top Bottom