Mambo gani ya kuzingatia/kufanya kama mwanafunzi wa mwaka wa kwanza ambao tumepata vyuo mikoani?

Kipenseli

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
800
1,050
Habari Wana Jamvi?

Naimani mko poa na mnaendelea na harakati za kila siku za kujenga taifa....

Nimeweka chapisho hili kwaajili ya kupata muongozo especially kwa sisi wanafunzi ambao tunategemea kuingia vyuoni kama First Year Students (Flesh) kwa muhula mpya wa masomo.

Kwa wenye experience mtupe muongozo hasa sisi tunaoenda vyuo vya mikoani:-

*Ni kipi natakiwa kwenda nacho au kutokwenda nacho chuo?

*Je siku ya kuripoti na kujisajili Kama mwanafunzi wa chuo inachukua muda gani na unatakiwa ujipange na kiasi Cha fedha kwenda huko?

*Kipi bora kati ya hostel za chuo au kupanga nje ya hostel za chuo?

*Lifestyle gani unatakiwa kua nayo ili kujijengea heshima

*Kwa sisi ambao hatujawahi kabisa kusafiri mikoani ni Mambo gani ya kufanya? Kama hua kuna dharura zinatokea ni kipi Cha kufanya tukiwa safarini?

*Je siku ya kuripoti unaweza kuripoti na kurudi tena nyumbani kujipanga au ndiyo siku ambayo unatakiwa ubaki pale chuoni?

Maswali ni mengi na mengine sijayauliza hapa...

Unaweza kutoa ushauri wako hapa kutokana na uliyowahi kuexperience kwa kuwa nina Imani wengi mmepita stage hii

Nawasilisha.
 
Hongera Kwa kupata chuo dogo.

Pili, kwenye flesh weka fresh tafadhali.

Tatu,mkoani hakuna tatizo lolote we nenda na vilivyoandikwa kwenye joining instructions.

Nne, chuo zingatia kilichokupeleka utakaowakuta kinachowaunganisha ni elimu wenyewe wanaita shule.

Ukitoka kwenye mfumo wa chuo kwa discontinue, bro trust me hakuna atakaekuwa na muda na wewe.

Tano, epuka kujiunga Qnet, Pamafund, elimu kwanza ndo biashara yako .

Sita, nikutakie mapambano mema katika elimu na usimsahau Sir God.

Saba, YOU CAN LIVE YOUR LIFE WITHOUT CHICS.

Au revoir
 
Hongera Kwa kupata chuo dogo.
Pili, kwenye flesh weka fresh tafadhali..
Tatu,mkoani hakuna tatizo lolote we nenda na vilivyoandikwa kwenye joining instructions......
Nne, chuo zingatia kilichokupeleka utakaowakuta kinachowaunganisha ni elimu wenyewe wanaita shule. Ukitoka kwenye mfumo wa chuo kwa discontinue, bro trust me hakuna atakaekuwa na muda na wewe.
Tano, epuka kujiunga Qnet, Pamafund, elimu kwanza ndo biashara yako .
Sita, nikutakie mapambano mema katika elimu na usimsahau Sir God.
Saba, YOU CAN LIVE YOUR LIFE WITHOUT CHICS..
Au revoir
Nikushukuru kwaniaba ya mleta mada hapa.
Pili, kwenye tafadhali weka tafadhari.

Asante😏🙏
 
Habari Wana Jamvi?

Naimani mko poa na mnaendelea na harakati za kila siku za kujenga taifa....

Nimeweka chapisho hili kwaajili ya kupata muongozo especially kwa sisi wanafunzi ambao tunategemea kuingia vyuoni kama First Year Students (Flesh) kwa muhula mpya wa masomo.

Kwa wenye experience mtupe muongozo hasa sisi tunaoenda vyuo vya mikoani:-

*Ni kipi natakiwa kwenda nacho au kutokwenda nacho chuo?

*Je siku ya kuripoti na kujisajili Kama mwanafunzi wa chuo inachukua muda gani na unatakiwa ujipange na kiasi Cha fedha kwenda huko?

*Kipi bora kati ya hostel za chuo au kupanga nje ya hostel za chuo?

*Lifestyle gani unatakiwa kua nayo ili kujijengea heshima

*Kwa sisi ambao hatujawahi kabisa kusafiri mikoani ni Mambo gani ya kufanya? Kama hua kuna dharura zinatokea ni kipi Cha kufanya tukiwa safarini?

*Je siku ya kuripoti unaweza kuripoti na kurudi tena nyumbani kujipanga au ndiyo siku ambayo unatakiwa ubaki pale chuoni?

Maswali ni mengi na mengine sijayauliza hapa...

Unaweza kutoa ushauri wako hapa kutokana na uliyowahi kuexperience kwa kuwa nina Imani wengi mmepita stage hii

Nawasilisha.
Wakati naenda chuo mdingi kaniambia kuna mademu. achana nao. soma. ukimaliza chuo ukapata job nzur watakukimbilia utawaoa mpk watano. Nikafata hiyo nikamaliza salama.

Pia nilijiweka karibu na nyumba ya ibada. hata olevel na A-level hiyo ndio ilikua principle yangu. Nilikua mtu WA dini kiasi. ilisaidia sanaaaa Mungu mbele
 
Ukifika iga maisha ya Second year, utakuja kunishukuru.

Ila first year huwa wanabhoa, unakuta wanatembea kwa makundi. Cafteria wanaenda makundi, yani kila kona ukikutana na kundi la wanafunzi wamevaa nguo mpya hao ni first year.
 
Ukifika iga maisha ya Second year, utakuja kunishukuru.

Ila first year huwa wanabhoa, unakuta wanatembea kwa makundi. Cafteria wanaenda makundi, yani kila kona ukikutana na kundi la wanafunzi wamevaa nguo mpya hao ni first year.
🤣🤣🤣
 
Ukifika iga maisha ya Second year, utakuja kunishukuru.

Ila first year huwa wanabhoa, unakuta wanatembea kwa makundi. Cafteria wanaenda makundi, yani kila kona ukikutana na kundi la wanafunzi wamevaa nguo mpya hao ni first year.
Kweli kabisa shalo wa kilatino
 

Pitia Hiyo Itakusaidia.
 
Hongera Kwa kupata chuo dogo.
Pili, kwenye flesh weka fresh tafadhali..
Tatu,mkoani hakuna tatizo lolote we nenda na vilivyoandikwa kwenye joining instructions......
Nne, chuo zingatia kilichokupeleka utakaowakuta kinachowaunganisha ni elimu wenyewe wanaita shule. Ukitoka kwenye mfumo wa chuo kwa discontinue, bro trust me hakuna atakaekuwa na muda na wewe.
Tano, epuka kujiunga Qnet, Pamafund, elimu kwanza ndo biashara yako .
Sita, nikutakie mapambano mema katika elimu na usimsahau Sir God.
Saba, YOU CAN LIVE YOUR LIFE WITHOUT CHICS..
Au revoir
Mkuu ni Flesh sio Fresh


First Year Student (Flesh)
 
Hongera Kwa kupata chuo dogo.
Pili, kwenye flesh weka fresh tafadhali..
Tatu,mkoani hakuna tatizo lolote we nenda na vilivyoandikwa kwenye joining instructions......
Nne, chuo zingatia kilichokupeleka utakaowakuta kinachowaunganisha ni elimu wenyewe wanaita shule. Ukitoka kwenye mfumo wa chuo kwa discontinue, bro trust me hakuna atakaekuwa na muda na wewe.
Tano, epuka kujiunga Qnet, Pamafund, elimu kwanza ndo biashara yako .
Sita, nikutakie mapambano mema katika elimu na usimsahau Sir God.
Saba, YOU CAN LIVE YOUR LIFE WITHOUT CHICS..
Au revoir
Thanks A Lot Mkuu...nimepata mwangaza

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Pia ukitaka kuelimika..usiache kujisomea kila siku..tena zaidi ya uluchofunzwa na lecturer..go library search same topics ujiongezee na kuhakikisha unashiriki asignments zote. Maana kuna watu wanaajili wa kuwafanyia assignmnet. Huku mtaani ndio vimeo wakubwa kazini hata report hawajui ananzaje kuandika!
 
Ukifika iga maisha ya Second year, utakuja kunishukuru.

Ila first year huwa wanabhoa, unakuta wanatembea kwa makundi. Cafteria wanaenda makundi, yani kila kona ukikutana na kundi la wanafunzi wamevaa nguo mpya hao ni first year.
 
Back
Top Bottom