Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 715
Ujari pamojaHadi sasa nasota na sijui msoto utaisha lini, ninayo pitia naona hadi aibu kuandika
Ujari pamojaHadi sasa nasota na sijui msoto utaisha lini, ninayo pitia naona hadi aibu kuandika
....Andika tu Mkuu! Inapunguza Maumivu ya Msoto!Hadi sasa nasota na sijui msoto utaisha lini, ninayo pitia naona hadi aibu kuandika
Mkuu siku yakija yamekujaHuo utoto 😄😄😄
Mkuu ukishaona mtu kataja mkate ujue ana helaTunashindia mkate na maji mradi siku ziende yani kukosa hela ni zaidi kuumwa Ebola.
Sijui Kama kusudi lako nikuchekesha ila nimejiona Mimi kabisa Yani maishaKutembelea minadani huku unaangalia chini kama kuna mtu alidondosha ka hela
Macho yanakuwa chini kama unategua mabomu vile 🤣 🤣Kutembelea minadani huku unaangalia chini kama kuna mtu alidondosha ka hela
Unatamani macho yatawanyike ili usije ukamiss hata engo mojaMacho yanakuwa chini kama unategua mabomu vile 🤣 🤣
Mkuu we acha tuu. Halafu ukikutana na mtu unahisi kaja kupunguza uwezekano wa wewe kupataSijui Kama kusudi lako nikuchekesha ila nimejiona Mimi kabisa Yani maisha
Maisha haya acha tu, ukiona mtu anaongea pekee yake usimcheke maana haujui magumu anayopitia.Unatamani macho yatawanyike ili usije ukamiss hata engo moja
Yani sekunde umeangalia engo ya kulia sekunde engo ya kushoto kama unatembea kwenye vipande vya chupa.
Kutembelea minadani huku unaangalia chini kama kuna mtu alidondosha ka hela
Si heri hata mihogoKula nyanya za 300 kama dinner
Duh hiyo kali sanaKuvunja milango ya majirani kutafuta viporo
Maisha Yana Siri nzito
Hii sasa ndio fedheha mengine naona yametajwa matukio tuhii ilinikuta nilipita kwenye kijiwe cha boda boda,nikaigumia 2000 imechokaa,imkunjwa kunjwa,nikaiokota nikiwa nashukuru kwa Mungu hatua chache mbele,naskia naitwa brazaa.
samahani hiyo 2k ni yangu nimeangusha pale nilikuwa natoa mfukoni nyingine hizi hapa zilikuwa 4k.
kwa udadisi nikamuuliza unajua ni shingapi??akaitaja mpaka hali yake,kinyoonge nikampa.
Pole sana mkuu hii kwel ilikua fedhehaHome hamna kitu na Nina Moto na mke jioni nikapata jero nikanunua vidagaa SASA inshu ikaja gas imeisha, mkaa hakuna SASA alternative ni kupika kuni hapo kuni nazo sjui napata wapi. Hapo ni Saa mbili usku mchana na asubuhi sjala Ila mtoto alikologewa uji Tu.
Basi wakati narudi home na kmfuko changu cha dagaa nikapita mahali nikaona limeza lipo road nikaona linafaa Kwa kuni nikabeba huyooo daaah mara nakutana na jamaa mmoja akanisimamisha akanambia meza Ile ni yake na mjomba ake huwa wanafanyia biashara kwaiyo Mimi ni mwizi akampigia simu HUYO mjomba wake kumpa taarifa ya wizi Yule mjomba wake akamwambia tukutane pale nilipoichukua Ile meza kweli tukarudi mpk pale halafu ni barabarani nashukuru kulikuwa na kagiza basi tumesubiri were Yule mjomba mtu akapiga simu nikapewa niongee naye akawa ananiambia niseme Mimi ni mwizi au nipelekwe polisi bs nikakili ndivyo nimeiba bs ye akasema kapata emergency kwahiyo hiyo meza ipelekwe kwake nikabebeshwa tena mpk Kwa HUYO mjomba wake kesi ikawa imeisha yaani stasahau sema ni zamani sana
Tuko wengi, ila me nilikuaga na imagine na naiokota kweliKutembelea minadani huku unaangalia chini kama kuna mtu alidondosha ka hela
Hata wengine tulikuwa tunabahatisha siku moja mojaTuko wengi, ila me nilikuaga na imagine na naiokota kweli