ukitika kwenye uzi huu unaenda uzi pendwa kula tunda kimasihara.!Nyuzi kama hizi ndiyo zinaturudisha kwenye uwepo wa Mungu
Nimengi mpaka nashindwa simulia. Ila sijasahau wakati mmoja sina kazi nilipita eneo nikanuwia na Mungu alisikia nika ajiriwa ktk ile kampuniKuna muda bwana unaweza ukabanwa na mambo magumu katika maisha, na ukashindwa njia zote hatimae ukaamua kumuomba Mungu moja kwa moja na akakujibu?
Mimi kuna matukio kadhaa aisee naamini moja kwa moja Mungu ndiye alinisaidia.
1. Kukingwa na mvua kubwa
Mnamo mwaka 2008 nilikuwa katika moja ya shughuli za utafutaji katika Kijiji kimoja kinaitwa MKANYAGENI huko Tanga. Tulikuwa katika mapori fulani huko tukichana mbao. Lakini siku mbele baadae nilianza kuumwa na homa kali Sana. Jamaa zangu wakaamua kuniruhusu na kurudi mjini ili nisije nikawafia kule.
Safari ilikuwa Ni ndefu na ni ya mguu, nilitembea kilomita kadhaa na hatimae nikashindwa kabisa kutembea kutokana na kuishiwa nguvu.
Nikiwa nimekaa chini sijui cha kufanya, angani ilitanda mvua moja kubwa Sana, dakika chache baadae ikaanza kunyesha. Pale nilipo hapakuwa na nyumba wala sehemu yoyote ya kujizuia na mvua.
Kiukweli niliamua kumwambia Mwenyezimungu kana kwamba naongea na mtu. Nikasema "Ewe Mwenyezimungu, nakuomba uizuie mvua hii mpaka ntakapofika mjini kwani Kama ikininyeshea hapa hakika sitoweza hata kutembea"
Basi mvua ile ilikata na nilijikongoja mpaka kufika pale MKANYAGENI majira ya saa 2 usiku tangu saa 10 jioni.
Nilipofika tuuuu, aisee mvua iliachiwa sijapata ona... Daaah nkasema kweli Mungu yupo.
2. Chakula cha hapo kwa hapo
Mwaka 2015, siku moja nikiwa sina hata mia mbovu. Mipango yangu yote imepinda. Njaa inaniuma sijakula siku nzima mpaka nikafikia hatua ya kulegea kwa njaa.
Niliamua kumwambia Mungu nisaidie, nitakufa na hii njaa mimi mja wako.
Nilitoka kuelekea nisikokujua, lakini baada ya dakika kadhaa niliamua kurudi tu geto.
Aisee kitu cha kushangaza WALLAAHI nilimkuta mtoto wa jirani pale mlangoni kwangu akinisubiri na akiwa ameshika bakuli ya wali.. kwa kudai kuwa amepewa na mama yake aniletee... Nilishangaa Sana maana huyo mama wala Sina mazoea nae wala HAKUWA jirani wa karibu...
Nkasema kweli Mungu amejibu maombi. Asante sana Mungu.
3. Kuokoka kufumaniwa na mke wa mtu
Hii ilikuwa ni mwaka 2017... Sitosahau.
Nikiwa ndani kwa mtu na mke wake.. Jamaa hakuwa mji ule kabisa alikuwa kikazi mji mwingine. Lakini hammad ghafla tukasikia sauti za honi ya gari getini ikimaanisha kuwa msela ameshafika.... Yule mama alikwenda kufungua geti nikiwa nimejificha nyuma ya friji nikisali maombi yote.
Mara mprado huo ndani mzee kaingia..
Daah kumbe alisahau simu mfuko wa mbole katika duka flan huko mjini, ikabidi awashe tena gari arudi kuchukua kwa ajili ya matumizi ya kesho.
Nafkiri mbio nilizotoka nazo pale Ni zaidi ya BOEING 787. Na ikawa mwisho wa kudate na Iile shuga mamy. Hakika mzee angenikamata Ningekufa tu.
Acheni wake za watu hata wakijirahisisha.
Ila jaman MUNGU ANAJIBU MAOMBI kwa aombae kwa dhati.
Hebu funguka kidogo mkuuKuepuka kuuwawa na majambazi
Tuliiingiliwa na majambazi yenye silaha nilikua naomba ki moyo moyo kwa kweli ile sala ilisaidia kwa sbb walichukua vitu ambavyo sio vya mihimu sana japo mwanzo walishatutishia na kutaka kutucharanga na panga na mwingine alikua na bastola sasa sijui ilikua na risasi ama laa ila naaamini ile sala ilibadili kila kitu namshuru sana Mungu.Hebu funguka kidogo mkuu
Liongo wwmimi ilinitokea nilipewa mtihani mgumu kweli kweli chuoni sikujua naanzia wapi nikamwomba mungu nikasikia sauti inaniambia tizama ubaoni nikaona notisi za majibu yote ya maswali zimeandikwa ubaoni nikawa nanyanyua kichwa naangalia ubaoni nakopi kama ilivyo hadi msimamizi wa mitihani akawa ananikodolea macho ananishanga shangaa nikaibua na A KWENYE HILO SOMO
NILIPOMALIZA KUANDIKA YAKAFUTIKA YENYEWE
Ukidai deni hupewi hela ukipotezea watu wanakulipa chukua hii kanuni utanishukuru badaeNapenda hizi shuhuda ila naomba mnisaidie, unamuombaje Mungu akusaidie mdeni/wadeni wako wakulipe hela zako. Hii inanipa stress sana, nachukia sana mtu unamdai and he doesn't bother at all, tena anaweza kukutupia maneno ya kashfa na kuudhi.
Mzee wangu alikua ana niamini sana hakua na shaka na mimi pia alikua busy na biashara mda mwingi alikua ana safiri kwahio haikua rahisi kufahamu matukio yangu, life la kule nna story ndefu kidogo ila ime jaa mafunzo unfortunate uandishi wangu mbovu sana hua nashindwa kuandika mtu asome aelewe mpangiluio kuandika napata tabuso mzee hajui mpaka leo?vipi life la uganda?
mzee wako aliwekeza sana kwenye elimu.vipi umefikia wapi?Mzee wangu alikua ana niamini sana hakua na shaka na mimi pia alikua busy na biashara mda mwingi alikua ana safiri kwahio haikua rahisi kufahamu matukio yangu, life la kule nna story ndefu kidogo ila ime jaa mafunzo unfortunate uandishi wangu mbovu sana hua nashindwa kuandika mtu asome aelewe mpangiluio kuandika napata tabu
Awaondoe madikteta wote Africa, Nzinza, jiwe la chatto na wengine.Kuna muda bwana unaweza ukabanwa na mambo magumu katika maisha, na ukashindwa njia zote hatimae ukaamua kumuomba Mungu moja kwa moja na akakujibu?
Mimi kuna matukio kadhaa aisee naamini moja kwa moja Mungu ndiye alinisaidia.
1. Kukingwa na mvua kubwa
Mnamo mwaka 2008 nilikuwa katika moja ya shughuli za utafutaji katika Kijiji kimoja kinaitwa MKANYAGENI huko Tanga. Tulikuwa katika mapori fulani huko tukichana mbao. Lakini siku mbele baadae nilianza kuumwa na homa kali Sana. Jamaa zangu wakaamua kuniruhusu na kurudi mjini ili nisije nikawafia kule.
Safari ilikuwa Ni ndefu na ni ya mguu, nilitembea kilomita kadhaa na hatimae nikashindwa kabisa kutembea kutokana na kuishiwa nguvu.
Nikiwa nimekaa chini sijui cha kufanya, angani ilitanda mvua moja kubwa Sana, dakika chache baadae ikaanza kunyesha. Pale nilipo hapakuwa na nyumba wala sehemu yoyote ya kujizuia na mvua.
Kiukweli niliamua kumwambia Mwenyezimungu kana kwamba naongea na mtu. Nikasema "Ewe Mwenyezimungu, nakuomba uizuie mvua hii mpaka ntakapofika mjini kwani Kama ikininyeshea hapa hakika sitoweza hata kutembea"
Basi mvua ile ilikata na nilijikongoja mpaka kufika pale MKANYAGENI majira ya saa 2 usiku tangu saa 10 jioni.
Nilipofika tuuuu, aisee mvua iliachiwa sijapata ona... Daaah nkasema kweli Mungu yupo.
2. Chakula cha hapo kwa hapo
Mwaka 2015, siku moja nikiwa sina hata mia mbovu. Mipango yangu yote imepinda. Njaa inaniuma sijakula siku nzima mpaka nikafikia hatua ya kulegea kwa njaa.
Niliamua kumwambia Mungu nisaidie, nitakufa na hii njaa mimi mja wako.
Nilitoka kuelekea nisikokujua, lakini baada ya dakika kadhaa niliamua kurudi tu geto.
Aisee kitu cha kushangaza WALLAAHI nilimkuta mtoto wa jirani pale mlangoni kwangu akinisubiri na akiwa ameshika bakuli ya wali.. kwa kudai kuwa amepewa na mama yake aniletee... Nilishangaa Sana maana huyo mama wala Sina mazoea nae wala HAKUWA jirani wa karibu...
Nkasema kweli Mungu amejibu maombi. Asante sana Mungu.
3. Kuokoka kufumaniwa na mke wa mtu
Hii ilikuwa ni mwaka 2017... Sitosahau.
Nikiwa ndani kwa mtu na mke wake.. Jamaa hakuwa mji ule kabisa alikuwa kikazi mji mwingine. Lakini hammad ghafla tukasikia sauti za honi ya gari getini ikimaanisha kuwa msela ameshafika.... Yule mama alikwenda kufungua geti nikiwa nimejificha nyuma ya friji nikisali maombi yote.
Mara mprado huo ndani mzee kaingia..
Daah kumbe alisahau simu mfuko wa mbole katika duka flan huko mjini, ikabidi awashe tena gari arudi kuchukua kwa ajili ya matumizi ya kesho.
Nafkiri mbio nilizotoka nazo pale Ni zaidi ya BOEING 787. Na ikawa mwisho wa kudate na Iile shuga mamy. Hakika mzee angenikamata Ningekufa tu.
Acheni wake za watu hata wakijirahisisha.
Ila jaman MUNGU ANAJIBU MAOMBI kwa aombae kwa dhati.
Mengi Tu...Kuna muda bwana unaweza ukabanwa na mambo magumu katika maisha, na ukashindwa njia zote hatimae ukaamua kumuomba Mungu moja kwa moja na akakujibu?
Mimi kuna matukio kadhaa aisee naamini moja kwa moja Mungu ndiye alinisaidia.
1. Kukingwa na mvua kubwa
Mnamo mwaka 2008 nilikuwa katika moja ya shughuli za utafutaji katika Kijiji kimoja kinaitwa MKANYAGENI huko Tanga. Tulikuwa katika mapori fulani huko tukichana mbao. Lakini siku mbele baadae nilianza kuumwa na homa kali Sana. Jamaa zangu wakaamua kuniruhusu na kurudi mjini ili nisije nikawafia kule.
Safari ilikuwa Ni ndefu na ni ya mguu, nilitembea kilomita kadhaa na hatimae nikashindwa kabisa kutembea kutokana na kuishiwa nguvu.
Nikiwa nimekaa chini sijui cha kufanya, angani ilitanda mvua moja kubwa Sana, dakika chache baadae ikaanza kunyesha. Pale nilipo hapakuwa na nyumba wala sehemu yoyote ya kujizuia na mvua.
Kiukweli niliamua kumwambia Mwenyezimungu kana kwamba naongea na mtu. Nikasema "Ewe Mwenyezimungu, nakuomba uizuie mvua hii mpaka ntakapofika mjini kwani Kama ikininyeshea hapa hakika sitoweza hata kutembea"
Basi mvua ile ilikata na nilijikongoja mpaka kufika pale MKANYAGENI majira ya saa 2 usiku tangu saa 10 jioni.
Nilipofika tuuuu, aisee mvua iliachiwa sijapata ona... Daaah nkasema kweli Mungu yupo.
2. Chakula cha hapo kwa hapo
Mwaka 2015, siku moja nikiwa sina hata mia mbovu. Mipango yangu yote imepinda. Njaa inaniuma sijakula siku nzima mpaka nikafikia hatua ya kulegea kwa njaa.
Niliamua kumwambia Mungu nisaidie, nitakufa na hii njaa mimi mja wako.
Nilitoka kuelekea nisikokujua, lakini baada ya dakika kadhaa niliamua kurudi tu geto.
Aisee kitu cha kushangaza WALLAAHI nilimkuta mtoto wa jirani pale mlangoni kwangu akinisubiri na akiwa ameshika bakuli ya wali.. kwa kudai kuwa amepewa na mama yake aniletee... Nilishangaa Sana maana huyo mama wala Sina mazoea nae wala HAKUWA jirani wa karibu...
Nkasema kweli Mungu amejibu maombi. Asante sana Mungu.
3. Kuokoka kufumaniwa na mke wa mtu
Hii ilikuwa ni mwaka 2017... Sitosahau.
Nikiwa ndani kwa mtu na mke wake.. Jamaa hakuwa mji ule kabisa alikuwa kikazi mji mwingine. Lakini hammad ghafla tukasikia sauti za honi ya gari getini ikimaanisha kuwa msela ameshafika.... Yule mama alikwenda kufungua geti nikiwa nimejificha nyuma ya friji nikisali maombi yote.
Mara mprado huo ndani mzee kaingia..
Daah kumbe alisahau simu mfuko wa mbole katika duka flan huko mjini, ikabidi awashe tena gari arudi kuchukua kwa ajili ya matumizi ya kesho.
Nafkiri mbio nilizotoka nazo pale Ni zaidi ya BOEING 787. Na ikawa mwisho wa kudate na Iile shuga mamy. Hakika mzee angenikamata Ningekufa tu.
Acheni wake za watu hata wakijirahisisha.
Ila jaman MUNGU ANAJIBU MAOMBI kwa aombae kwa dhati.
kwakweli simudai upande wa elimu alitimiza wajibu wake nlisoma mpka nikamwambia nmetosha bahati mbaya nli anza kazi October 20 mzee akafariki Dec 16 ikanilazimu niache ajira njkaenda kusimamia biashara ambazo mpka sasa tuna endeleamzee wako aliwekeza sana kwenye elimu.vipi umefikia wapi?
Kabisa??kupata mke wa ndoto zangu…………….
Ila kifo ..wengi wanaomba ila hawajibiwi..Aombaye hupewa.
Hakuna anayeomba kifo, na hakuna asiyeogopa kifo.Ila kifo ..wengi wanaomba ila hawajibiwi..
Pole mkuuTaarifa ya ajari ambayo ilionye kifo kimesogea sana.
Ndipo nilimtaka Mungu aingilie kati na mapenzi take yatimizwe.
Ghafla nikasikia sauti ikijibu hakika hiyo ni ajari unagogwa na gari hiyo na unagongwa ila jipe moyo wa imani nitakulinda hutakufa ingawa utakanyangwa na kuvunjwa mguu wa kushoto hivyo ndivyo ilikuwakama sinema kwenye ufahamu kama ndoto na dk 2 hazikufika ikawa imetokea
Ilikuwa 4 May 2018 saa 14:25 pm