Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
so mzee hajui mpaka leo?vipi life la uganda?Nilifanya forgery nyumbani nikaepeleka report from ya uongo baadae nika mwambia mzee wangu nahama shule nikatengeneza sababu za uongo bahati nzuri Uganda hawajali uhamisho hasa shule za private