APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,048
- 8,626
1
9. Mpigie mulize amefika wapi asije kuwa haji.
Kama haji CHAPUTA wana majibu juu ya hili...
1
9. Mpigie mulize amefika wapi asije kuwa haji.
mwanangu hiyo tam maana ata leta swaga movie inatisha wewe kigentleman kama nyoka una jivuta karibu nadhani huezi shindwa endelea akisha kuwa kiblaahiyo 8 nd'o mbaya zaidi
Hahahahahaha hao viumbe akili zao ndogo sana hutakiwi tumia nguvu akili kidogo t una mmaliza.Wewe jamaa jinga sana nimecheka sana
DuuuhHabari leo naomba nishee na Ninyi kitu kidogo cha Muhimu sana kwetu wanaume, Kabla ya kushiriki tendo la ndoa Na Mwenzi wako hakikisha unakunywa maji ya kutosha ili baada ya Tendo la ndoa Uende kukojoa hii hutusaidia kusafisha Mfumo wa Uzazi na kuondoa mabaki ya Semens na mbegu zinazobaki kwenye njia ya mkojo;
Sababu mbegu huwa hazitoki zote na kuisha wakati wa ejaculation hivyo mbegu zinazobaki hufa kwenye njia ya mkojo na hutengeneza acid ambayo huathiri nji ya mfumo wa uzazi na Tezi Dume
pamoja na hayo yote hii ni muhim sana ipokee kwa mikono miwili mkuu nawatikia Jumanne njema
BAK wewe ni expert humu jamvini Mambo ya chumvini yameingiaje hapa??
Unawachokoza sasa Wanaume wa Dar! Ngoja waje uone watakavyo kutishia nyau iwapo tu utakanyaga kwenye Jiji lao jipya la Ilala!!!Dar njaa Kali watu wanashindia mihogo ya 500 na Pepsi harafu nyumban anamkee anategemea atapiga show hahhaaaa ....
Lazima upige kimono kwa shida ma ulale ..
Wengine wanashindia mhind mmoja na pilipili ,aisee
Dar hakuna titizo LA nguvu za kiume ,njaa inawasumbua sanaaa
Amri kumi za ghetto1. Ewe mwanaume hakikisha umekula vizuri na umeshiba.
2. Kunywa maji ya kutosha.
3. Hakikisha umeoga na kujisugua vizuri.
4. Nyoa sehemu zako za siri na makwapa.
5. Piga mswaki baada ya kuoga.
6. Hakikisha chumba ni kisafi pamoja na mashuka yako.
7. Andaa kinga yako weka juu ya mweza unapo weza fika kirahisi.
8. Andaa movie yako ya horror ili mkumbatiane vizuri.
9. Mpigie mulize amefika wapi asije kuwa haji.
10. Sali kabla hajafika usije uza mechi ukapiga kimoja ukalala.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nonda za ukweliHabari leo naomba nishee na Ninyi kitu kidogo cha Muhimu sana kwetu wanaume, Kabla ya kushiriki tendo la ndoa Na Mwenzi wako hakikisha unakunywa maji ya kutosha ili baada ya Tendo la ndoa Uende kukojoa hii hutusaidia kusafisha Mfumo wa Uzazi na kuondoa mabaki ya Semens na mbegu zinazobaki kwenye njia ya mkojo;
Sababu mbegu huwa hazitoki zote na kuisha wakati wa ejaculation hivyo mbegu zinazobaki hufa kwenye njia ya mkojo na hutengeneza acid ambayo huathiri nji ya mfumo wa uzazi na Tezi Dume
pamoja na hayo yote hii ni muhim sana ipokee kwa mikono miwili mkuu nawatikia Jumanne njema
Kabla ya kugegeda ndy Safi maana unamuandaa kabla hajaanza kutafunwa
Katika zote iyo namba tisa ndo muhimu😂😂😂 hiyo 8 nd'o mbaya zaidi