Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,559
- 3,216
Katika pitapita zangu hapa JF naona kuna mambo au makundi ambayo hayajawahi kupata muafaka au pande mbili, tatu au zaidi ya hizo kukubaliana na kuwa upande mmoja. Na kuna uwezekano haya mambo au makundi yasije pata muafaka kabisa.
Baadhi ya hayo mambo Ni
1. Wanaoamini Uwepo wa Mungu Vs Wasioamini uwepo wa Mungu
2. Watumiaji wa IOS Vs Watumiaji wa Android
3. Wapenda FIFA Vs Wapenda PES
4. Wapenda Tecno Vs Wapenda Samsung na Iphone ( Hawa huwa wanaungana linapokuja suala la Tecno)
5. Wanaovutiwa na Wanawake weusi Vs Wanaovutiwa na wanawake weupe.
6. Wale wazee wa Semi trailer Vs Wazee wa English figure.
7. Wapenda Cdm Vs Wapenda Ccm
8. Wapenda Simba Vs Wapenda Yanga.
9. Wanaoamini kupiga pesa lazima utoke jasho haswaa Vs Wanaoamini Si lazima utoke jasho haswaa ndo upige pesa
10. Chaputa Vs The rest
11. Wale wa Udsm Vs Wale wa Teku na wengineo
12. Uzuri wa Dar es Salaam Vs Uzuri wa Nairobi
13. Wazee wa Gambe Vs Wazee wa Fanta Orange
14. Wanaume wa Dar Vs Wanaume wa Mkoa
15. Wale wanaopenda mwanaume kwa bed Vs Mwanaume ni Pesa ( Ila hapa hali ikiendelea hivi, kuna Hatari ukabaki upande mmoja tu)
16....
17....
Ongezea mengine hapo..............
Baadhi ya hayo mambo Ni
1. Wanaoamini Uwepo wa Mungu Vs Wasioamini uwepo wa Mungu
2. Watumiaji wa IOS Vs Watumiaji wa Android
3. Wapenda FIFA Vs Wapenda PES
4. Wapenda Tecno Vs Wapenda Samsung na Iphone ( Hawa huwa wanaungana linapokuja suala la Tecno)
5. Wanaovutiwa na Wanawake weusi Vs Wanaovutiwa na wanawake weupe.
6. Wale wazee wa Semi trailer Vs Wazee wa English figure.
7. Wapenda Cdm Vs Wapenda Ccm
8. Wapenda Simba Vs Wapenda Yanga.
9. Wanaoamini kupiga pesa lazima utoke jasho haswaa Vs Wanaoamini Si lazima utoke jasho haswaa ndo upige pesa
10. Chaputa Vs The rest
11. Wale wa Udsm Vs Wale wa Teku na wengineo
12. Uzuri wa Dar es Salaam Vs Uzuri wa Nairobi
13. Wazee wa Gambe Vs Wazee wa Fanta Orange
14. Wanaume wa Dar Vs Wanaume wa Mkoa
15. Wale wanaopenda mwanaume kwa bed Vs Mwanaume ni Pesa ( Ila hapa hali ikiendelea hivi, kuna Hatari ukabaki upande mmoja tu)
16....
17....
Ongezea mengine hapo..............