Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo duu veepeDuuuuh
ukifanya hvo ulete mrejesho maana mm pia nafikiria kufanya hivoSijui nimFowadie baby wanguu...!!
Nimesoma comment za wadau ndo zimenifanya niandike hivyoHiyo duu veepe
Sawa, ila "Take risk at your own Risk"ukifanya hvo ulete mrejesho maana mm pia nafikiria kufanya hivo
Hiyo ya kulinganisha bhana huwa inawafanya wanaume wajisikie vibaya mnoo, hata kwa wanawake ila kwa wanaume zaidi!!!!
Huyo ni mwanaume wako, ulimpenda ukamchagua sasa unamlinganisha na fulani ili iweje labda!!!! Tunalalamika wanaume hawana nguvu za Usiku lakinii Sisi ni chanzo namba moja, sababu ya midomo yetu.
Naamini sio wanawake wote ila weeengi jamani midomo yetu inaweza jenga na inaweza bomoa pia!!!!!
SawaNimesoma comment za wadau ndo zimenifanya niandike hivyo
HahahahaHata miwanaume inalinganisha kuna siku nikiwa university miaka ya 1996 nikamtembelea uncle wangu nikamsikia akimtania mkewe " wakati Mungu akigawa wowowo kwa wanawake wengine wewe ulikuwa wapi" mimi nilicheka lakini nikahuzunika