SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Mzee mwanakijiji,<br />
Unajua kuna mlevi wa pombe na Alcoholic! <br />
Mlevi wa pombe hulewa pindi anapokunywa tu,
M'bwia unga hapo ni ccm au viongozi wa ccm? maana kama unakusudia ccm, utakuwa umekosea kwani sidhani kama hizo nyimbo za ufisadi ulitaja ni ktk sera za ccm! labda useme 'viongozi wa ccm', naam! hapo utakuwa umepatia¡ lakin nadhan hilo ni tatizo la watu wachache (si wote ndio mafisadi),hivyo basi twaweza pembua kati ya chuya na mchele, au ndo yale yale ya "samaki..."