Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Sikujua kama bado Watanzania tunaamini uchawi!
Mlienda kwa mganga na nyie ndio akafanikiwa "kunyofoka" kwa yule dada au?
Ni stori ndefu Gaijin...bt kifupi tu na sie tulimpandia hukohuko, otherwise bro alishapotea, na kuna picha majirani walimpiga jamaa katoka ofisini dem kamwambia aoshe vyombo, bro kachuchumaa anaosha vyombo, inasikitisha sana