Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Mambo 6 muhimu kwa binadamu huwezi kupata ushauri hu kwa Ma-Daktari ila utapata hapa Jamii Forums:
1) Binadamu anatakiwa apate mwanga wa jua unasaidia kupata Vitamin D muhimu kwa Binadamu kwa afya yako.
2) Kunywa Maji kila siku japo Mara 8 kwa siku ni nzuri kwa ajli ya afya yako na kuondosha maradhi mwilini Maji ni kinga ya kila maradhi.
3) Kupata Usingizi wa Usiku usingizi wa masaa 8 kwa usiku ni bora kwa afya yako.
4) Kupata hewa safi kila binadamu anatakiwa apate hewa safi kwa ajili ya afya yako.
5) Kufanya Mazoezi ya kukimbia au kutembea japo kwa siku kutembea kwa kilomita 5 ni bora kwa afya yako ya mwilini.
6) Kula chakula kwa wakati wake chakula chenye kuleta afya mwilini.
Huu Ushauri huwezi patakokote kule zaidi ya hapa Ukifuata huu ushauri wangu kamwe huwezi kupatwa na maradhi asanteni.