Kila kitu kwa kiasi!Ukinywa maji mengi ni Shida!
Ukila nyama nyingi ni shida!!
Ukinywa Sana kileo ni shida!!!
Ukipumzika muda mrefu ni shida!!!!
Kwa hiyo tufanyeje sasa!!!?
Huyu ni wa kupuuzwa tu.Anasema hata mitandao ya kijamii ni sehemu ya umasikini ! amesahau kwamba sisi wengine humu mitandaoni ni sehemu ya kazi au biashara .
Nimeandika wale wanaotumia social media kwa Mambo yasiyo na umuhimu muwe mnasoma mada na kuelewa.....!!!Hapo umeandika wanaotumia social media kwa muda Zaid ya masaa mawili, Swali, Je ambao ndo tunatumia social media kudrive biashara zetu unamaanisha kuwa matajiri ni haiwezekani?
mkuu ndio hivyo walevi na wahongaji ndio wanakufa maskiniHahahahah, ila wanadamu aisee mambo ni mengi kwenye system ya kichwa,
Mkuu umesema mambo matano sasa mbona umeongeza la sita? Sio fresh kutuongezea makatazo. Punguza basi moja.
Kashashiba dona na dagaa mchele anaporomosha vijembe tu😅Motivation speaker wa ghetto
Instagram, FB na Twitter ndo tunatengeneza pesa. Labda useme kuperuzi bila faida.Kati ya kitu ambacho unatakiwa kuwa makini nacho kila mara wakati unatafuta mafanikio, ni yale mambo unayoyafanya kila siku. Mambo hayo unayoyafanya ndiyo ambayo yanaweza kukupa picha utafanikiwa au hutafanikiwa katika maisha yako endapo utayafatilia kwa makini.
Kimsingi, yapo mambo ikiwemo tabia zako ambazo ukizifanya ni lazima ufanikiwe. Pia kwa upande mwingine yapo mambo, ambayo ukiyafanya iwe kwa kujua au kutokujua ni lazima uwe maskini. .
1. Fanya kazi chini ya saa kumi kila siku.
Kwa mujibu wa wataalamu wa masuala ya mafanikio, ili uweze kufanikiwa unahitaji kufanya kazi kwa saa zisipongua kumi kila siku. Ikiwa utakuwa unafanya kazi kwa saa nane, basi utaishia kuwa na maisha ya kawaida ambayo kila mtu anayo. Maisha makubwa ya mafanikio yanakuja kwa kujituma na kufanya kazi kwa muda mrefu.
Historia inaonyesha wengi kati ya watu wenye mafanikio makubwa duniani, wanajituma na kufanya kazi kwa saa zaidi ya kumi kwa siku. Kwa mfano, Thomas Edson mgunduzi wa taa za umeme ilifika wakati alifanya kazi hadi kwa saa 18 kwa siku. Jiulize unafanya kazi zako binafsi kwa saa ngapi? Kama unafanya chini ya saa kumi, jiandae kuwa maskini.
2. Fanya kazi chini ya siku sita kwa juma.
Mbali na kufanya kazi chini ya saa kumi kwa siku, pia unatakiwa kufanya kazi kwa siku zisizopunguaa sita kwa wiki. Hapa tunapozungumzia kazi, namaanisha kazi zako binafsi na si kazi ya kuajiriwa. Ila kama unafanya kazi zako chini ya siku sita basi, andika maumivu ni lazima utakuwa maskini utake au usitake, hilo ni lazima.
3. Angalia televisheni kila siku kwa muda unaozidi saa moja.
Kitu kimojawapo ambacho kitakufanya uwe maskini ni kuangalia televisheni kwa muda mrefu. Wapo watu ambao ni kama walevi wa TV. Kila siku hupoteza muda mwingi sana kwenye TV kuliko kawaida. Unapotumia muda mwingi kwenye TV na kusahau kwamba ungeweza hata kujisomea na kuboresha maisha yako, basi jiandae pia kufa maskini.
4. Kuwa mlevi wa mitandao ya kijamii.
Kama wewe unatumia muda wako mwingi sana kuingia kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, twitter au instagram zaidi ya saa mbili kwa siku, basi naweza sema tayari umeshajiandikisha kwenye daftari la kuelekea kwenye umaskini. Hautaweza kukwepa kuwa maskini ikiwa matumizi yako ya muda ni mabovu kiasi hicho tena kwa mambo yasiyo ya msingi.
5. Kuwa mtu wa matumizi.
Kati ya shimo ambalo wengi wanatumbukia bila kujijua na kupelekea wao kuwa maskini ni kwa wao kuwa watu wa matumizi na kusahau kuwekeza. Kiasi chochote cha pesa unachopata, unashauriwa kuwekeza kidogo kwanza. Kama haufanyi hivyo na unaponda mali tu, basi elewa upo kwenye njia ya kuelekea kwenye umaskini.
6. Usijifunze kitu.
Wakati wenzako wanawekeza kwenye maarifa, wewe tulia tu hapo ulipo usijifunze, ni lazima uwe maskini. Kama ni soga endelea kuzipiga tu bila kuchoka. Wengi wanakufa maskini kwa sababu ya kuamua kwa makusudi kutokujifunza iwe kupitia vitabu au kujifunza kupitia maisha ya watu wengine hususani wale waliofanikiwa.
Kwa kifupi, hayo ndiyo mambo ambayo ukiyafanya yanauwezo mkubwa wa kukufanya ukawa maskini utake au sitake.
Mkuu kwani hujasikia hii habari inayo sambaa mtandaoni kwa sasa kuwa gas imepanda bei?Kati ya kitu ambacho unatakiwa kuwa makini nacho kila mara wakati unatafuta mafanikio, ni yale mambo unayoyafanya kila siku. Mambo hayo unayoyafanya ndiyo ambayo yanaweza kukupa picha utafanikiwa au hutafanikiwa katika maisha yako endapo utayafatilia kwa makini.
Kimsingi, yapo mambo ikiwemo tabia zako ambazo ukizifanya ni lazima ufanikiwe. Pia kwa upande mwingine yapo mambo, ambayo ukiyafanya iwe kwa kujua au kutokujua ni lazima uwe maskini. .
1. Fanya kazi chini ya saa kumi kila siku.
Kwa mujibu wa wataalamu wa masuala ya mafanikio, ili uweze kufanikiwa unahitaji kufanya kazi kwa saa zisipongua kumi kila siku. Ikiwa utakuwa unafanya kazi kwa saa nane, basi utaishia kuwa na maisha ya kawaida ambayo kila mtu anayo. Maisha makubwa ya mafanikio yanakuja kwa kujituma na kufanya kazi kwa muda mrefu.
Historia inaonyesha wengi kati ya watu wenye mafanikio makubwa duniani, wanajituma na kufanya kazi kwa saa zaidi ya kumi kwa siku. Kwa mfano, Thomas Edson mgunduzi wa taa za umeme ilifika wakati alifanya kazi hadi kwa saa 18 kwa siku. Jiulize unafanya kazi zako binafsi kwa saa ngapi? Kama unafanya chini ya saa kumi, jiandae kuwa maskini.
2. Fanya kazi chini ya siku sita kwa juma.
Mbali na kufanya kazi chini ya saa kumi kwa siku, pia unatakiwa kufanya kazi kwa siku zisizopunguaa sita kwa wiki. Hapa tunapozungumzia kazi, namaanisha kazi zako binafsi na si kazi ya kuajiriwa. Ila kama unafanya kazi zako chini ya siku sita basi, andika maumivu ni lazima utakuwa maskini utake au usitake, hilo ni lazima.
3. Angalia televisheni kila siku kwa muda unaozidi saa moja.
Kitu kimojawapo ambacho kitakufanya uwe maskini ni kuangalia televisheni kwa muda mrefu. Wapo watu ambao ni kama walevi wa TV. Kila siku hupoteza muda mwingi sana kwenye TV kuliko kawaida. Unapotumia muda mwingi kwenye TV na kusahau kwamba ungeweza hata kujisomea na kuboresha maisha yako, basi jiandae pia kufa maskini.
4. Kuwa mlevi wa mitandao ya kijamii.
Kama wewe unatumia muda wako mwingi sana kuingia kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, twitter au instagram zaidi ya saa mbili kwa siku, basi naweza sema tayari umeshajiandikisha kwenye daftari la kuelekea kwenye umaskini. Hautaweza kukwepa kuwa maskini ikiwa matumizi yako ya muda ni mabovu kiasi hicho tena kwa mambo yasiyo ya msingi.
5. Kuwa mtu wa matumizi.
Kati ya shimo ambalo wengi wanatumbukia bila kujijua na kupelekea wao kuwa maskini ni kwa wao kuwa watu wa matumizi na kusahau kuwekeza. Kiasi chochote cha pesa unachopata, unashauriwa kuwekeza kidogo kwanza. Kama haufanyi hivyo na unaponda mali tu, basi elewa upo kwenye njia ya kuelekea kwenye umaskini.
6. Usijifunze kitu.
Wakati wenzako wanawekeza kwenye maarifa, wewe tulia tu hapo ulipo usijifunze, ni lazima uwe maskini. Kama ni soga endelea kuzipiga tu bila kuchoka. Wengi wanakufa maskini kwa sababu ya kuamua kwa makusudi kutokujifunza iwe kupitia vitabu au kujifunza kupitia maisha ya watu wengine hususani wale waliofanikiwa.
Kwa kifupi, hayo ndiyo mambo ambayo ukiyafanya yanauwezo mkubwa wa kukufanya ukawa maskini utake au sitake.
Tutumie kwa kiasi chifuUkinywa maji mengi ni Shida!
Ukila nyama nyingi ni shida!!
Ukinywa Sana kileo ni shida!!!
Ukipumzika muda mrefu ni shida!!!!
Kwa hiyo tufanyeje sasa!!!?
Hiyo ndio shida ya "copy & paste". Hata baadhi ya vitu alivyoandika ukiviweka kwenye uhalisia inakuwa tofauti/kinyume na ilivyoandikwa. Tusisahau kale kamsemo ka JK. Za kuambiwa.... changanya na zako.......Mkuu umesema mambo matano sasa mbona umeongeza la sita? Sio fresh kutuongezea makatazo. Punguza basi moja.
😅😅😅Motivation speaker wa ghetto
Yupo busy na keyboard na usikute katika hayo aliyo andika hakuna hata moja amelifanyia kazi!Motivation speaker wa ghetto