Hamayser hamisi
Member
- Jul 14, 2021
- 25
- 26
Hukizunguzia mapenzi hakuna yaliyomuacha kila mtu yamemgusa kwa namna moja au nyingine. hapa chini nmeandika mambo 5 ambayo unatakiwa kuyajua ili uhepukane na athali kubwa za mapenzi.
1) MWAMINI MWENYEZI MUNGU
Ukimuamini mwenyezi mungu utakuwa mtu wa subla, na subla inamfanya mtu asikurupuke kwenye Jambo loloto kwa hiyo hii itakufanya kuepukana na matukio ambayo yataathiri maisha yako.
2). TAMBUA KILA KITU KINA MWISHO
Jamani vijana wenzangu tutambue kila kitu kina mwisho ukiona Kuna mabadiliko kwenye mahusiano yako jua mwisho umefika kwaiyo ukilazimisha mana unataka kukataa mwisho kitu ambacho hakiwezekani.
3). KUBALI MABADILIKO
Kila kitu kinabadilika kwenye hi dunia kutokana mabadiliko hayo huna budi na ww kuyakataa. mf. zamani wanawake walikuwa wa mama wa nyumbani, lakini siku hizi na wao wanangaika kutafuta kwaiyo mwanaume ukitaka mkeo awe mama wa nyumban utagombana na mkeo mwisho mahusiano yavunjika
4).USIFOSI MAPENZI
Kadli unavyofosi mapenzi na kumfatafata mtu ndivyo unaongeza maumivu na maumivu yanavyo kuwa makali ndo chanzo cha kufanya mambo ya ajabu na kuathili maisha yako.
5). BINADAMU AMILIKIKI
Kwenye huu ulimwengu utamiliki vitu vyote lakini sio binadamu mwenzeko, binadamu anajiendesha kwaiyo uwezi kummiliki angle zote, kwaiyo ukimwambia kitu kimoja atakubali kingine hatofanya kwaiyo uwe fair. lakini ukitaka afanye kila kitu unachokitaka. Chanzo cha migogolo mwisho ambayo itakufanya uone mapenzi magumu. Wewe kijana mwezangu mtazani ishi na mambo matano ayo ili tuepukane naathari kubwa za kimapenzi.
1) MWAMINI MWENYEZI MUNGU
Ukimuamini mwenyezi mungu utakuwa mtu wa subla, na subla inamfanya mtu asikurupuke kwenye Jambo loloto kwa hiyo hii itakufanya kuepukana na matukio ambayo yataathiri maisha yako.
2). TAMBUA KILA KITU KINA MWISHO
Jamani vijana wenzangu tutambue kila kitu kina mwisho ukiona Kuna mabadiliko kwenye mahusiano yako jua mwisho umefika kwaiyo ukilazimisha mana unataka kukataa mwisho kitu ambacho hakiwezekani.
3). KUBALI MABADILIKO
Kila kitu kinabadilika kwenye hi dunia kutokana mabadiliko hayo huna budi na ww kuyakataa. mf. zamani wanawake walikuwa wa mama wa nyumbani, lakini siku hizi na wao wanangaika kutafuta kwaiyo mwanaume ukitaka mkeo awe mama wa nyumban utagombana na mkeo mwisho mahusiano yavunjika
4).USIFOSI MAPENZI
Kadli unavyofosi mapenzi na kumfatafata mtu ndivyo unaongeza maumivu na maumivu yanavyo kuwa makali ndo chanzo cha kufanya mambo ya ajabu na kuathili maisha yako.
5). BINADAMU AMILIKIKI
Kwenye huu ulimwengu utamiliki vitu vyote lakini sio binadamu mwenzeko, binadamu anajiendesha kwaiyo uwezi kummiliki angle zote, kwaiyo ukimwambia kitu kimoja atakubali kingine hatofanya kwaiyo uwe fair. lakini ukitaka afanye kila kitu unachokitaka. Chanzo cha migogolo mwisho ambayo itakufanya uone mapenzi magumu. Wewe kijana mwezangu mtazani ishi na mambo matano ayo ili tuepukane naathari kubwa za kimapenzi.