GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,655
1 • Unahitaji Pesa Ili Uishi Comfortable.
2 • Watu hawajali matatizo yako. Wanajali vile unavyoweza kuwasaidia wao watatue wakwao.
3 • Kujiajiri na kuanzisha stable business ni kazi ngumu kuliko kuajiriwa. Kama wewe ni mvivu bora uajiriwe tu.
4 • Mtu hata awe mzuri vipi lazima awe na mapungufu. Ukiishi naye ndani ya wiki moja utafugundua hili.
5 • Kila mtu anapenda aishi vizuri. Lakini wachache tu ndiyo wapo tayari ku-pay price ili wafikie stage yakuishi maisha mazuri.
6 • Si lazima uwahi kuoa au kuolewa. Ni vile jamii na familia inakuwekea pressure tu.
7 • Watanzania wengi hawana uelewa katika masuala ya sales. Muulize jirani yako toka mwaka umeanza ameuza bidhaa au huduma zenye thamani kiasi gani?
8 • Tunaishi mara moja tu. Ni vema ukaishi maisha unayoyapenda kweli.
9 • Hakikisha angalau mara moja kwa mwezi unaenda nje ya mji kuepuka kelele nyingi na mvurugano wa city life. Hii itakusaidia kutoingia katika mtego wa stress. Trust me on this.
10 • Si kila mwanamke anayekukubali haraka ni cheap. Pengine naye anahisia kali juu yako.
11 • Wanasiasa hawajali lolote kuhusu wewe. Wanajali status yao tu basi.
12 • Watu wapo tayari kumsikiliza tajiri mwizi na mla rushwa na kumpuuza kijana mwerevu anayeongea ukweli.
13 • Ukitaka kuwafurahisha watu ongelea mazuri yao ukiacha yote yanayowakera.
14 • Hakuna anayejali mafanikio yako zaidi yako mwenyewe.
15 • Sex ni moja ya njia yakuondoa msongo wa mawazo.
16 • Inachukua si chini ya wiki 4 kuunda habit mpya.
17 • Hauwezi kuwa na furaha muda wote. Jifunze kuishi katika balance. Balance is key in life.
18 • Maisha Si mashindano. Trust me hakuna anayeenda kushinda mwisho wa siku. Tupo hapa kwa muda tu.
19 • No matter what you do people will judge you. Don’t give a sh*t
20 • Maisha siyo pressure. Pressure ni jamii inayoku-force uishi kama wanavyotaka wao.
21 • Average millionaire anazaidi ya vyanzo 7 vya mapato. Je wewe una source ngapi za kipato?
22 • Jukumu la mwanaume ni kumlinda mwanamke atembee katika dunia akiwa huru.
23 • Wanawake wamekuwa mhimili imara kabisa katika ku-support familia Afrika na duniani kwa ujumla. Treat them with respect.
24 • Perfect life haiwezekani. Usipoteze muda kuwa sahihi kwa kila kitu.
25 • Umeshindwa kupiga hatua katika maisha yako kwasababu umepuuza kujifunza kupitia same mistakes uliyofanya mwaka jana.
26 • Usipofurahia kampani yako binafsi hakuna mtu atakayevutia na wewe.
27 • Hakikisha una-save pesa kwa ajili ya dharura. You will thank me later.
28 • Acha kusema uongo. Msema kweli Mpenzi wa Mungu.
29 • Vyakula vinavyotokana na wanyama vinakusababishia maradhi. Kula zaidi matunda ni bora zaidi kwa Afya yako.
30 • Kuishi bila malengo ni mzigo. Soon utaona maisha hayana maana.
Ongezea ya kwako...
2 • Watu hawajali matatizo yako. Wanajali vile unavyoweza kuwasaidia wao watatue wakwao.
3 • Kujiajiri na kuanzisha stable business ni kazi ngumu kuliko kuajiriwa. Kama wewe ni mvivu bora uajiriwe tu.
4 • Mtu hata awe mzuri vipi lazima awe na mapungufu. Ukiishi naye ndani ya wiki moja utafugundua hili.
5 • Kila mtu anapenda aishi vizuri. Lakini wachache tu ndiyo wapo tayari ku-pay price ili wafikie stage yakuishi maisha mazuri.
6 • Si lazima uwahi kuoa au kuolewa. Ni vile jamii na familia inakuwekea pressure tu.
7 • Watanzania wengi hawana uelewa katika masuala ya sales. Muulize jirani yako toka mwaka umeanza ameuza bidhaa au huduma zenye thamani kiasi gani?
8 • Tunaishi mara moja tu. Ni vema ukaishi maisha unayoyapenda kweli.
9 • Hakikisha angalau mara moja kwa mwezi unaenda nje ya mji kuepuka kelele nyingi na mvurugano wa city life. Hii itakusaidia kutoingia katika mtego wa stress. Trust me on this.
10 • Si kila mwanamke anayekukubali haraka ni cheap. Pengine naye anahisia kali juu yako.
11 • Wanasiasa hawajali lolote kuhusu wewe. Wanajali status yao tu basi.
12 • Watu wapo tayari kumsikiliza tajiri mwizi na mla rushwa na kumpuuza kijana mwerevu anayeongea ukweli.
13 • Ukitaka kuwafurahisha watu ongelea mazuri yao ukiacha yote yanayowakera.
14 • Hakuna anayejali mafanikio yako zaidi yako mwenyewe.
15 • Sex ni moja ya njia yakuondoa msongo wa mawazo.
16 • Inachukua si chini ya wiki 4 kuunda habit mpya.
17 • Hauwezi kuwa na furaha muda wote. Jifunze kuishi katika balance. Balance is key in life.
18 • Maisha Si mashindano. Trust me hakuna anayeenda kushinda mwisho wa siku. Tupo hapa kwa muda tu.
19 • No matter what you do people will judge you. Don’t give a sh*t
20 • Maisha siyo pressure. Pressure ni jamii inayoku-force uishi kama wanavyotaka wao.
21 • Average millionaire anazaidi ya vyanzo 7 vya mapato. Je wewe una source ngapi za kipato?
22 • Jukumu la mwanaume ni kumlinda mwanamke atembee katika dunia akiwa huru.
23 • Wanawake wamekuwa mhimili imara kabisa katika ku-support familia Afrika na duniani kwa ujumla. Treat them with respect.
24 • Perfect life haiwezekani. Usipoteze muda kuwa sahihi kwa kila kitu.
25 • Umeshindwa kupiga hatua katika maisha yako kwasababu umepuuza kujifunza kupitia same mistakes uliyofanya mwaka jana.
26 • Usipofurahia kampani yako binafsi hakuna mtu atakayevutia na wewe.
27 • Hakikisha una-save pesa kwa ajili ya dharura. You will thank me later.
28 • Acha kusema uongo. Msema kweli Mpenzi wa Mungu.
29 • Vyakula vinavyotokana na wanyama vinakusababishia maradhi. Kula zaidi matunda ni bora zaidi kwa Afya yako.
30 • Kuishi bila malengo ni mzigo. Soon utaona maisha hayana maana.
Ongezea ya kwako...