mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,738
- 35,155
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Good morning mtoa mada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Good morning mtoa mada!
Yawezekana ndio hiyo hiyo kwa vile wengi huielezea Qnet kwa mtazamo huo. Ingawa kiuhalisia si kweli kuwa unahitaji uanze kuwa msambazaji kwa kulipa hiyo bei. Bali ni kwa kununua bidhaa ambayo pia si lazima iwe ya hiyo bei. Na kama utakuwa ni msambazaji si lazima pia usambaze bidhaa kwa kushurutisha watu kununua bidhaa za hiyo bei. Waweza jifunza zaidi juu ya hii fulsa kupitia kwenye website yao.
Ila mimi nilifanikiwa kurudishiwa kariakooThubutuu, yaani wafanikiwe kukupiga halafu wakurudishie
Moja Mkuu hahhaHiyo 5million ya saa. Ni saa moja au zinakua saa nyingi?
Sina hakika kama nimekuelewa vyema but nitajibu nilivyokuelewa.Hizo bidhaa za qnet ni bora kiasi gani mpaka manunuzi yawe kupitia mtu wa kati?
La hasha. But nimeamua kushaire knowledge yangu juu ya hili. Au ni dhambi?Unatuta mtu wa kumnasa aingie Qnet ili upate commission?
Sikuwa na nia ya kukuaminisha kuhusu ecommerce platforms hizo. Ni kweli hakuna jambo lisilo na kasoro lakini nililenga kutoa mwanga juu ya nini maana ya e commerce ndo nikaona nitolee mifano hizo platforms maarufu.Kwanza hizo eBay, AliExpress na Amazon watu wanapigwa kila siku msikakaririshane maneno ,elezea kitu kwa experience
MorningGoodmorning Billionaire.
MorningGood morning Africa
why hadi mchana mnasalimiana goodmorning?Morning
Goodmorning Billionaire.