tuambie kwanza nini kimetokea ili tukuandae kisaikolojia.Nani anajua vzur kuhusu qnet anieleze kwa undani bila kuacha kitu
tuambie kwanza nini kimetokea ili tukuandae kisaikolojia.
wewe endelea kwenda ila mwisho wa siku waambie hauna hata sh. 100 kama wanazo wao wakukopeshe alafu wafanyie hicho wanachokihubiri faida ikipatikana utawarudishia mtaji wao na wewe utabaki na faida.Kuna jamaa aliniita akinambia ndugu kuna ajira safi uku we njoo wakati mefika ndo ikawa darasa kwanza leo nimeenda kwa mara ya kwanza lakn maelezo yao nimebak na alama ??? Nying sana maana wanakuandaa b4 uongee na mtu
Mfano unaambiwa kuna mtu anakuja kukuelezea lakin usimuingilie katikati ya mazungumzo subir amalize ndo uulize swali
PYRAMID SCHEME HATARI SANA KUWAHI KUTOKEANani anajua vzur kuhusu qnet anieleze kwa undani bila kuacha kitu
Ila ajitahidi kuwala hata wadada watatu hivi maana wanakua desperate hadi wanalazimisha ahadi ya ndoa ukiingiawewe endelea kwenda ila mwisho wa siku waambie hauna hata sh. 100 kama wanazo wao wakukopeshe alafu wafanyie hicho wanachokiubiri faida ikipatikana utawarudishia mtaji wao na wewe utabaki na faida.