Ipo siku ipo siku ipo siku ipo siku . Siku ipi hiyo ?
Next Friday mzee. Nimejiwekea utaratibu wa kuweka thread mpya humu kila ijumaa. Ili kupisha muda wa watu kujadili na kupata kujua maeneo muhimu ya kuelimishana kutokana na michango ya wadau.
Ni utaratibu wangu tu.
Tuombeane tu uhai.
Next Friday
 
Acha kuinvest energy yko kwenye upuuzi janjaruka mtoto, utazeeka masikini.
Hunijui hata. Unapata wapi ujasiri wakuniambia nijanjaruke au kuniambia nitazeeka masikin?
Katika dini yangu Kutoa knowledge ni sadaq.
Sidhani kam unajua kuwa ecommerce ni dhana pana sana na watu huingia vyuoni kuisomea. Na sidhani hata kama unajua impact ya E commerce kwenye uchumi.
Almost every thing now ni E-
Better ujifunze zaidi juu y huu mfumo. E COMMERCE.
Hakika si jambo la kipuuzi kama udhaniavyo.
Fikiri kwa kina.
Nakushauri tu.
Thanks
 
Qnet Bana. Mungu anawaona. Washaurini waweke Bidhaa za kitanzania. Na Holiday package za kwenda zanzibar, serengeti Katavi.

Pia muwe mnaonesha bank slip/ statement tuone hizo hela nyingi mlizotajirika. Pia mtoe na mikopo iwasaidie watu wanunue bidhaa maana nyie mshatajirika.
Hapo vipi.
 
Mtaji wa mtanzania ni ujinga ndo maana kila mwaka tunachagua viongozi bomu..we mleta mada usitake kunifanya nifungiwe maana ntakutukana..nyie ni matapeli na kwa dhambi hiyo hata mbinguni hamwendi...hapo ulipo viatu vimeisha soli unataka danganya akili kubwa humu..ndo maana mi sikuhizi nakuja kwe tuvikao vyenu vya good morning kuwagongea videm vyenu desperate..fanya kazi msipende urahisi katika maisha siku hizi mtapewa uhujumu uchumi..hili jambo tunalijadili mwaka wa 2 bado tu unakuja na mashudu yako


 
QNET and E-Commerce
Don’t be fooled by joining QNET or any such company that sell their own products through you, making you a sales agent of their company and misguiding you by giving an illusion that you are doing your own business, It is not E-Commerce Business. People join QNET thinking they are doing some E-Commerce business or you can say they are injected to think they are doing some E-Commerce/Online business but that’s not true actually they are made fool and prepare to make others fool.
Under the umbrella of this beautiful concept of E-Commerce business, QNET is trying to sell their own overpriced products and making people QNET sales agents instead of educating them how to do online business of their own choice.
What is E-Commerce business:
E-commerce business means selling products of your choice following legal guidelines on E-Commerce sites like Amazaon, Flipkart, Snapdeal and Shopclues or creating your own website and selling products through it.
When people join companies like QNET etc. they are told many times that they are doing some E-Commerce business which is a totally wrong. QNET IRs are also sales staff whose company do Network Marketing. But they are told and motivated like they do some type of business only so that they can convince other people as well with this false belief.
E-Commerce term is used by companies like QNET which wants to put this false belief into the minds of its associates that they are also business persons and doing some E-Commerce. Which is bad as if they will act like a businessman without being one, why would they even try to be one in actual. They are brainwashed in such a way that they find very hard to accept this very simple logic that they are just like any other network marketers and not an actual business person.
They often misguide people by giving them wrong commitment that they will do business in QNET. Later when people joined the company they are told to repeat the same with other people as well. QNET is a direct selling company like many others.
Network Marketing/Direct Selling power we all know that this concept is one of the best way to promote product or the services. The same concept is used by QNET. But other Network Marketing companies tell its associates that if they will promote their products, they will get commissions, rewards etc.
QNET on the other hand gives false illusion to its associates that they are now business persons and doing E-Commerce business but actually they are doing the same as people do in many other network marketing companies which is promoting products or the services through network marketing.
Which is also one in the thousand reason why people feel cheated after joining this company.
Promoters only file the Income Tax Return, Like Network Marketers do in many companies. Business persons will file GST return as well with the Income Tax Return. Why? Because they are actually business persons.
 
Mimi nilkarbishw huko pasipo kuelezwa kusudi halisi. aniliambiw kuna fursa ya biashara niende nikasikilize. Nilichojifunza ni kuwa, Qnet ukienda kwao wanakukataza kutafuta habari kwa watu wengine ila kwao tu. Cha ajabu waliojiunga muda mrefu sioni wakitajirika kwa kasi ile wanayoisema kwenye semina zao, zaidi sana naona kama wanapotez matumaini kila siku hata ile mialiko haipo tena siku hizi.
Hiyo ndio silaha kubwa ya Qnet wanayoitumia ili kuweza kumtapeli mtu kirahisi, hawataki kukupa nafasi ya kuwa na free mind ya kuidadisi biashara yao kwa kuuliza watu wengine(maana wanajua kwa hakika watu watakushtua usije ukalizwa).

Tena wakati wa kukuvuta ili ujiunge nao wanataka iwe siri yako na wao. Lakini wakishakuliza tu pesa, hapo ndio watakushauri uwavute na watu wengine waje kuifahamu Qnet.
 
Kama ni Fursa kweli,kwa Nini kutumia nguvu nyingi kuelimisha watu,Mngejitajirisha wenyewe,
Mbona hao kina AliExpress na eBay hatuwaoni wakitumia nguvu nyingi kujitangaza.

Yani mtu atumie nguvu na ushawishi wa Hali ya juu ili wewe utajirike, really????
 
[QUOTn
Pole sana mkuu. Kila kitu duniani kina pande mbili. Pengine hukuwa na taarifa za kutosha wakati unatepeliwa. Aliexpress huko ambako we umetapeliwa, mi kunaniweka mjini. Hata simu tu nnayoandikia hapa nimeitoa huko.

Muhimu ni wewe unachagua kuona upande upi katika jambo husika.
Hata Mimi kunaniweka mjini sijaacha kuagiza , isipokuwa nimemsahihisha mleta mada kusema hizo e-commerce site ziko safe 100 wakati si kwelii . Kama zingekuwa salama kiasi hicho watu wasingeibiwa pesa zao.
 
Qnet Bana. Mungu anawaona. Washaurini waweke Bidhaa za kitanzania. Na Holiday package za kwenda zanzibar, serengeti Katavi.

Pia muwe mnaonesha bank slip/ statement tuone hizo hela nyingi mlizotajirika. Pia mtoe na mikopo iwasaidie watu wanunue bidhaa maana nyie mshatajirika.
Hapo vipi.
Haha nimeona hoja moja au mbili inayohusu mada iliyopo.
1.Unavyozungumzia kushauri Qnet waweke bidhaa za kitanzania nadhani wanamawasiliano yao kwenye wbsite yao ya www.qnet.net ambapo umaweza wasiliana n kampuni na ukatoa huo ushauri. Si vibaya wanaweza wakauchukua n uufanyia kazi.
2. Kuhusu holiday package nilivyoiangalia mimi ndani ya website ya www.tripsavr. com naona inaruhusu kufanya booking hata huko uliko zungumzia. Embu ingia na wewe ujionee.
Hoja yako kuhusu kuweka bank statement na kuhusu kukopeshwa sielewi umelnga eneo lipi kwa mujibu wa mada. But may be kuna mambo ya kujadili kuhusu misingi ya ujengaji ubia kati ya wajasiriamali, embu uwe na subira next friday naweza kuja na andiko litakalo kupa mwanga juu ya hii dhana.
Thanks
 
Mtaji wa mtanzania ni ujinga ndo maana kila mwaka tunachagua viongozi bomu..we mleta mada usitake kunifanya nifungiwe maana ntakutukana..nyie ni matapeli na kwa dhambi hiyo hata mbinguni hamwendi...hapo ulipo viatu vimeisha soli unataka danganya akili kubwa humu..ndo maana mi sikuhizi nakuja kwe tuvikao vyenu vya good morning kuwagongea videm vyenu desperate..fanya kazi msipende urahisi katika maisha siku hizi mtapewa uhujumu uchumi..hili jambo tunalijadili mwaka wa 2 bado tu unakuja na mashudu yako


Upo ndani ya mada? Au umekosa pa kuweka bandiko lako ukaona uweke hapa mzee?
Jenga hoja acha matusi.
Unadhani wewe watosha kunizuia kuandika kitu humu mzee?
Wenye utimamu wa akili wanasoma uliyo andikana ninayoandika na wanachambua.
Baki kwenye mada.
Thanks.
 
Upo ndani ya mada? Au umekosa pa kuweka bandiko lako ukaona uweke hapa mzee?
Jenga hoja acha matusi.
Unadhani wewe watosha kunizuia kuandika kitu humu mzee?
Wenye utimamu wa akili wanasoma uliyo andikana ninayoandika na wanachambua.
Baki kwenye mada.
Thanks.
Gudumoningi kakakyuneti.
 
QNET and E-Commerce
Don’t be fooled by joining QNET or any such company that sell their own products through you, making you a sales agent of their company and misguiding you by giving an illusion that you are doing your own business, It is not E-Commerce Business. People join QNET thinking they are doing some E-Commerce business or you can say they are injected to think they are doing some E-Commerce/Online business but that’s not true actually they are made fool and prepare to make others fool.
Under the umbrella of this beautiful concept of E-Commerce business, QNET is trying to sell their own overpriced products and making people QNET sales agents instead of educating them how to do online business of their own choice.
What is E-Commerce business:
E-commerce business means selling products of your choice following legal guidelines on E-Commerce sites like Amazaon, Flipkart, Snapdeal and Shopclues or creating your own website and selling products through it.
When people join companies like QNET etc. they are told many times that they are doing some E-Commerce business which is a totally wrong. QNET IRs are also sales staff whose company do Network Marketing. But they are told and motivated like they do some type of business only so that they can convince other people as well with this false belief.
E-Commerce term is used by companies like QNET which wants to put this false belief into the minds of its associates that they are also business persons and doing some E-Commerce. Which is bad as if they will act like a businessman without being one, why would they even try to be one in actual. They are brainwashed in such a way that they find very hard to accept this very simple logic that they are just like any other network marketers and not an actual business person.
They often misguide people by giving them wrong commitment that they will do business in QNET. Later when people joined the company they are told to repeat the same with other people as well. QNET is a direct selling company like many others.
Network Marketing/Direct Selling power we all know that this concept is one of the best way to promote product or the services. The same concept is used by QNET. But other Network Marketing companies tell its associates that if they will promote their products, they will get commissions, rewards etc.
QNET on the other hand gives false illusion to its associates that they are now business persons and doing E-Commerce business but actually they are doing the same as people do in many other network marketing companies which is promoting products or the services through network marketing.
Which is also one in the thousand reason why people feel cheated after joining this company.
Promoters only file the Income Tax Return, Like Network Marketers do in many companies. Business persons will file GST return as well with the Income Tax Return. Why? Because they are actually business persons.
Asante sana.
Ulipo copy hii habari ni sawa tu na mtu yeyote aliye kijiweni akinywa kahawa na kuanzisha mada.
Ngoja sasa nikupe namn ya kujua ukweli wa bandiko lako
1. Hapo ulipo unaweza ingia kwenye website ya qnet. www.qnet.net then ukaingia shop na ukanunua bidhaa yako yoyote utakayo bila hata kujoin kokote na ukaletewa bidhaa yako. Wakati hilo bandiko lako linaelezea kuwa unapaswa ujoin.
Ukituliza akili ukafuatilia aandishi yangu utagundua ukweli na uzushi.
2. Bandiko lako muandishi anajaribu kupondea kitu kinachitwa network arketing na kuleta mzaha juu ya hiyo industry. Next friday nitakujana mada utagundua ni kw namn gani mjasiriamal anawea tumia hiyo industry na akatoboa.
Labda kaa hujui wapo waandiahi wegi mitandaoni huandia hojanzito nzito wakipingabuwepo wa MUNGU sembuse mtu kutoelew compuni fulani au industrý?
Jitahidi kufuta Facts jaribu leo hapo kununua bidhaa wewe mwenyewe.. ndo utaanza kunielewa.
Thanks kwa mchango wako.
 
Hiyo ndio silaha kubwa ya Qnet wanayoitumia ili kuweza kumtapeli mtu kirahisi, hawataki kukupa nafasi ya kuwa na free mind ya kuidadisi biashara yao kwa kuuliza watu wengine(maana wanajua kwa hakika watu watakushtua usije ukalizwa).

Tena wakati wa kukuvuta ili ujiunge nao wanataka iwe siri yako na wao. Lakini wakishakuliza tu pesa, hapo ndio watakushauri uwavute na watu wengine waje kuifahamu Qnet.
Mkuu umeingia kwenye link.
Si unapenda kuuliza wengine.. nipo mimi Next friday utaelewa mengi sana usijali.
Kuna funzo kubwa sana juu ya ASILI ya BINADAMUna athari zake katika maendeleo. Utajiona humo.
Thanks.
 
Kama ni Fursa kweli,kwa Nini kutumia nguvu nyingi kuelimisha watu,Mngejitajirisha wenyewe,
Mbona hao kina AliExpress na eBay hatuwaoni wakitumia nguvu nyingi kujitangaza.

Yani mtu atumie nguvu na ushawishi wa Hali ya juu ili wewe utajirike, really????
Sidhani kama umewa msiiliza mtu kama Jack ma na harakati alizofanya ili alibaba ikubalike. Hivi unadhani ku mafanikio yasiyohitaji juhudi?
By da way nia ni wau kuelewa jambo. Ni harakati zangu za kuonda ujinga na ushamba wa jamii.
Hakuna lengo la kushawishi.
Embu elewa mada. Na elemu hii iwe tu kichwani kwako wala sijakwambia ununue bidhaa mahali.
Thanks
 
[QUOTn

Hata Mimi kunaniweka mjini sijaacha kuagiza , isipokuwa nimemsahihisha mleta mada kusema hizo e-commerce site ziko safe 100 wakati si kwelii . Kama zingekuwa salama kiasi hicho watu wasingeibiwa pesa zao.
Nahisi hadi sasa utakuwa ushaelewa.
Kuna mahali ulikua hujanisona vyema.
Thanks.
 
Back
Top Bottom