Mambo 3 Yanayopelekea wanaume wengi kupata UKIMWI kirahisi: Salaam zangu mwisho wa Mwaka

Random

JF-Expert Member
Jan 8, 2017
791
740
Salaam Tz

Tunaenda kufunga mwaka lkn pia kuuanza mwaka mpya, miongon mwa vitu tunavyopaswa kutafakari ni afya pia kama ilivyo uchumi binafsi na mambo mengine, kama uko salama 'heri yako' na kama umeshauvaa 'pole yako' ila usikate tamaa na maisha ni maradh kama maradh mengine i.e BP, diabetes etc

Kumbuka, Wanaume tupo wachache Duniani na chance ya kuzaa mtoto wa kiume ni ndogo sana (kibiologia), usihatarishe maisha yako na kukata cheni ya kizazi chako (kumbuka ukoo unaendelezwa na mwanaume)

Takwimu za UKIMWI zinaendelea kukua kila siku huusan Tz lkn tahadhari ya wanaojihusisha na mapenzi ipo in 'a costant trend' na baadhi ya maeneo inashuka gradualy

Zipo sababu nyingi za kupata UKIMWI lkn kubwa 3 ni hizi zifuatazo hususan kwa mazingira ya TZ ambapo mwanaume anajisifia/anaona fahar kuwa na madem wengi bila wao kujijua;

1. Kulamba/Kunyonya papuchi kwa kigezo kuwa unamuamini, ni demu mkali msafi, umdatishe akukubali n.k, hukatazwi kufanya hivyo ila fikiria hatima ya maisha yako kama utaathirika kabla hujaanza kulamba/nyonya, alaf pima mwenyewe uendelee au uache, awali njia hii ilikuwa haiskiki lkn baada ya kuongezeka kwa watu wenye upunguf wa nguv za kiume limezidi kushamiri kwa kuwa hawataki kuruka step ktk tendo hivyo basi ikifika ule muda wa kuzamisha dudu demu awe tayar ameshakuapreciate/ameloana kwa extent flan, ikifika wakat wa kuzamisha inakua ni kufinalize kwa kuwa mwanaume huyo hawawez kumudu mbio ndefu, demu hawez kushtukia kama jamaa ni mlemavu wa nguv za kiume kwa kuwa ameridhishwa, its good kwa kuwa mapenzi ni ufundi but its too risky

2. Condom znavaliwa siku za mwanzo, mkishazoeana znatupwa, hapo ndio chance ya kupata maambukiz inaongezeka, wengi wanasema zinapunguza ladha, joto n.k, ijali afya yako daima jilinde wew mwenyewe, usijiingize kweny maisha ya matumaini kwa uzembe

3. Kunyonya denda, utaskia mtu anasema sijamgonga lkn nimempiga mate yakutosha hawezi nisahau ananipa mzigo, hayo mate mzee baba kama anao umekwenda na maji, kama unakiu kunywa maji acha mate

Nb: Muhimu ni kutulia na mke wako, kuwa mwaminifu, chunga tamaa mbaya utakuja kuitesa familia yako kuanzia wazazi, ndg mpaka wanao.

Wanawake ni kinyume chake

Heri ya sikuku!!!

C.c Granta mpiga deki
 
we uko kundi gani mkuu, naona unakandia vijana tu.
Hapo mzee umeacha point muhimu. Vijana wengi siku hizi wanapenda kupiga back pass, au maarufu Amber Rutty. Hicho ndicho kinachowaponza vijana tena hizo condom kwao ni kero tu.
 
we uko kundi gani mkuu, naona unakandia vijana tu.

Kijana ila tu najitambua, maana huwa nikiwaangalia wakati nawapa Lamivudine, huwa nakuwa mpole kwa matendo yote yanayopelekea.

Kwa ujumla kazi bado ni kubwa, unakuta mtu mmeokotana hajui status yako lkn ikifika muda wa game, ajali ww ndie unakuwa mlinzi wa maisha yake.
 
Kijana ila tu najitambua, maana huwa nikiwaangalia wakati nawapa Lamivudine, huwa nakuwa mpole kwa matendo yote yanayopelekea.

Kwa ujumla kazi bado ni kubwa, unakuta mtu mmeokotana hajui status yako lkn ikifika muda wa game, ajali ww ndie unakuwa mlinzi wa maisha yake.
waooh!! kumbe we ni kE, safi sana kwa kuwajali vijana wenzio, mi pia kijana kwa hiyo tunafanyaje sasa
 
Kijana ila tu najitambua, maana huwa nikiwaangalia wakati nawapa Lamivudine, huwa nakuwa mpole kwa matendo yote yanayopelekea.

Kwa ujumla kazi bado ni kubwa, unakuta mtu mmeokotana hajui status yako lkn ikifika muda wa game, ajali ww ndie unakuwa mlinzi wa maisha yake.
Siyo wote wanaotumia lamiduvine wamejitakia Kama unavyodhani af hujafa hujaumbika
 
Salaam Tz

Tunaenda kufunga mwaka lkn pia kuunza mwaka mpya, miongon mwa vitu tunavyopaswa kutafakari ni afya pia kama ilivyo uchumi binafsi, kama uko salama 'heri yako' na kama umeshauvaa 'pole yako' ila usikate tamaa na maisha ni maradh kama maradh mengine ie BP, diabetes etc

Kumbuka, Wanaume tupo wachache Duniani na chance ya kuzaa mtoto wa kiume ni ndogo sana (kibiologia), usihatarishe maisha yako na kukata cheni ya kizazi chako (kumbuka ukoo unaendelezwa na mwanaume)

Takwimu za UKIMWI zinaendelea kukua kila siku huusan Tz lkn tahadhari ya wanaojihusisha na mapenzi ipo in 'a costant trend' na baadhi ya maeneo inashuka gradualy

Zipo sababu nyingi za kupata UKIMWI lkn kubwa 3 ni hizi zifuatazo hususan kwa mazingira ya TZ ambapo mwanaume anajisifia/anaona fahar kuwa na madem wengi bila wao kilujijua;

1. Kulamba/Kunyonya papuchi kwa kigezo kuwa unamuamini, ni demu mkali msafi, umdatishe akukubali n.k, hukatazwi kufanya hivyo ila fikiria hatima ya maisha yako kama utaathirika kabla hujaanza kulamba/nyonya, alaf pima mwenyewe uendelee au uache, awali njia hii ilikuwa haiskiki lkn baada ya kuongezeka kwa watu wenye upunguf wa nguv za kiume limezidi kushamiri kwa kuwa hawataki kuruka step ktk tendo hivyo basi ikifika ule muda wa kuzamisha dudu demu awe tayar ameshakuapreciate/ameloana kwa extent flan, ikifika wakat wa kuzamisha inakua ni kufinalize kwa kuwa mwanaume huyo hawawez kumudu mbio ndefu, demu hawez kushtukia kama jamaa ni mlemavu wa nguv za kiume kwa kuwa ameridhishwa, its good kwa kuwa mapenzi ni ufundi but its too risky

2. Condom znavaliwa siku za mwanzo, mkishazoeana znatupwa, hapo ndio chance ya kupata maambukiz inaongezeka, wengi wanasema zinapinguza ladha, joto n.k, ijali afya yako daima jilinde wew mwenyewe, usijiingize kweny maisha ya matumaini kwa uzembe

3. Kunyonya denda, utaskia mtu anasema sijamgonga lkn nimempiga mate yakutosha hawezi nisahau ananipa mzigo, hayo maye mzee baba kama anao umekwenda na maji, kama unakiu kunywa maji acha mate

Nb: Muhimu ni kutulia na mke wako, kuwa mwaminifu, chunga tamaa mbaya utakuja kuitesa familia yako kuanzia wazazi, ndg mpaka wanao.

Wanawake ni kinyume chake

Heri ya sikuku!!!

C.c Granta mpiga deki
 
Umemalizia point ya mwisho kwa kutishia we watu.. et mtakwenda na maji... Hivi ni nani ambaye hatokufa... Unakufa hata papuchi hujaonja ile radha ya dunia...

Ukimwi upo ila sio kama mnavyo utafsiri.. muhimu ushauri vijana wasikamie show... Wapige show kistaarabu.. na wasifanye kwa sifa...

Michezo ya kuzibua mitaro imetamaraki sanaa haswa kwa dare salade.. ukipata dem yeye mwenyewe anachukua mkuyenge na kuupeleka kunako pango la amberruty..

All in all condom haina radh yoyote..
 
Vyote hvo ulivyovsema vnaweza kufanyika na MTU asipate ukimwi,ni vigumu sana kupata ukimwi yaan MTU anyonye papuchi mpaka ichubuke HAKUNA KITU KAMA HICHO,kumbuka ukimwi unaambukizwa kwa damu na sio mate wala majimaji
 
Ukimwi ni ugonjwa flan smart sana. Ni managerable kabsa....ukiupata ni swala kuwa strong kisaikolojia...kula vizur..mazoezi ....yaan ishi kawaida tu bila hata kutumia arv....20 years plus unamaliza!

Game ya kibabe ni kansa bana....inatesa kupita unavofikria. Ingekuwa ni kuchagua magonjwa ya kuugua....binafsi ningechagua ukimwi mara kumi zaidi ya kansa....

Kama huamini...tembelea Ocean Road pale!
 
Back
Top Bottom