Mambo 20 ya kumuambia mpenzi wako Kila siku

Haya maneno kwa madomo zege na pangu pakavu mchuzi mnuko. Wala kimasihara na wenye hela hakuna maneno mengi.


Lunatic
Mbona unajichanganyaa ukishakuwa domo zege maneno ya nini Sasa? Kumbe wanaotanguliza hela ndo madomo zege? au hujui maana ya domo zege? Domo zege ni mtu anayetanguliza pesa kwenye kutongoza! na sijabisha ya kwamba ukianza na maneno matamu pesa haitatumika!
 
Wakati kijana uko kwenye process ya kutafuta na kujaribu kuuteka moyo wa msichana, unatakiwa kujifunza kutumia maneno matamu. Na lazima ujue kuwa sio kila neno unalotumia litagusa moyo wa mwanamke unayemtaka, Lakini maneno matamu yanafanya kazi ya kushangaza.

Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. Watu wengi pia huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza.

Sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unayempenda na unahitaji awe wako milele;
1. Macho yako ni mazuri, yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama.

2, Unanifanya niwe mwanaume bora, kwa hio nastahili mapenzi yako.

3. Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu.

4. Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.

5. Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea, ghafla nakuwa mtu wa furaha.

6. Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani, lakini umenichagua mimi.

7. Hapana wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo.

8. Ninapokushika nahisi kulegea kwenye magoti.

9. Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako, ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.

10. Siamini, maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.

11. kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda, natamani niwe na wewe milele. yaani usife.

12. Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.

13. Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda, nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.

14. Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.

15. Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia, hapo hupotea kabisaaa.

16. Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.

17. Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.

18. Napata furaha nikiwa na wewe.

19. Napenda kutumia muda na wewe.

20. Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.
Safi sanaa ndiyo inavyotakiwa mkuu yaani ikiwezekana ukishampata uwe unavaa na chupi zake kabisa.
 
hiyo namba saba tunaomba itazamwe vzr kuna watu watskula vipondo kutoka KWA wake zao
Eti unamwambia wewe SIO mnene akati anajiona kabisa ni kifutu nyie nyie haya msisahau mrejesho lakin
 
Unamwambia kimoja kimoja kila baada ya saa moja au unalist vyote afu unamtumia?! Mapenzi nayo kazi km kazi zingine tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom