Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

Ustaarabu kwa maana ya jumla: Hii ni hatua ya juu ya maendeleo iliyopigwa na jamii husika katika wakati fulani katika nyanja mbalimbali kama vile kisiasa,kiuchumi,kiutamaduni,kijamii na kiteknolojia.

Ustaarabu= Jamii iliyoendelea.(Mazuri mengi mabaya machache)
Miongoni mwa sababu kuu za kuenea ustaarabu ni mwingiliano katika nyanja mbalimbali.

Swali 1:Ipi ilikuwa jamii ya mwanzo kuingiliana na jamii nyingine kimataifa na kitaifa katika nyanja mbalimbali kati ya bara na pwani.???

Swali 2:Ipi ilikuwa jamii ya mwanzo kupiga maenedeleo makubwa katika nyanja zote kati ya bara na pwani???

Nb 1: Tunazungumzia zamani sana(Karne kadhaa zilizopita)!!!!!!!!!!!

Nb 2: Tukubali (ukweli mchungu) jamii ya Zanzibar ilianza kujiatach na kujiexpose na external world mapema kuliko jamii yoyote.
Nakubaliana na wewe !

Naomba uniambie ni Technolojia gani dunia inajivunia Leo hii chimbuko lake ni Zanzibar au ukigundulika na Technologist kutoka Zanzibar!


Usinilete story naomba uitaje!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Pia zanzibar kuna Paka wengi kuliko aina nyingine yoyote ya mnyama

paka wa zanzibar hagombanii chakula,kama unampa mpe usipompa hujampa tu

paka wanene wamejaa pale forodhani na wa kila aina mtaani

paka hawakimbii wala hawaogopi watu...wao hawajui shida na changamoto za wenzao wa bara

ila sijawahi ona mbwa zanzibar
hahahaha hizi stori za zenji nacheka sana
 
Nakubaliana na wewe !

Naomba uniambie ni Technolojia gani dunia inajivunia Leo hii chimbuko lake ni Zanzibar au ukigundulika na Technologist kutoka Zanzibar!


Usinilete story naomba uitaje!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hapo uliposema usiniletee story naona kuna ukakasi katika uelewa na ufahamu wako.Unaonekana unapenda mabishano na si maelekezano.

Mimi sifahamu.Naomba unitajie teknolojia ambayo dunia nzima inajivunia kutoka Afrika.

Nb 1: Kutovumbua teknolojia haimanishi kuwa hiyo teknolojia huwezi kuwa nayo. Unaelewa maana ya
Technology Transfer??????????

Nb 2: Jaribu kutokuwa na papara, mhemko,kiburi,majivuno,hasira, dharau n.k unapotaka kujifunza jambo lolote.Hivi vitu huwa vikwazo vikubwa katika kujifunza na kutafuta maarifa mapya. Samahani kama nimekukwaza.
 
NIMEPENDA ANALYSIS YAKO INGAWAJE KUNA MAMBO HAYAPO SAWA

Mfano:- Kuhusu wabongo wanaofanya kazi hotelin wanajiuza sidhan kama ni kwel hii!!
Hii ni kweli, wasichana single mothers hasa wakichaga wamejaa pale Amani CCM (ndiyo wengi) na jamii nyingine za bara wanafanya kwenye bar na migahawa mle ndo wanasema hotel ngono ndo biashara Yao.
Mimi sisimuliwi naona.
 
11.Matajiri wao wapo simple sana.Yaani unaweza kupishana na tajiri mkubwa tu halafu usijue.Njoo kwetu bara.!!!!!!!!!!!!!!!
12.Hawana ushamba na ulimbukeni wa vitu vya eletroniki na magari.Kwao ni vitu vya kawaida sana.Njoo kwetu bara!!!!!!!!!!!
13.Ni wastaarabu kwa maana ya ustaarabu.Kutoa salamu ndani ya gari, kutoa lift bila ya masharti, lugha za staha, mavazi ya stara, ukarimu.Dhana ya huyu ni mkubwa na huyu ni mdogo bado ipo.
14.Vituo vingi vya magari kuishia na herufi ni mfano, chuini,amani,mkokotoni, chaani, mfenesini, darajani, michenzani ,kwa hani, kisauni n.k
15.
Siyo waoga katika kudai haki zao.
16.Wanafuatilia sana siasa katika vijiwe vyao vya kahawa.
Nb1:Kila jamii ina mazuri na mabaya yake.
Nb 2. Ustaarabu ulianzia Pwani na kitovu chake ni Zanzibar(Ukweli mchungu) angalia elimu,uchumi,siasa,kijamii n.k
Huu ni ukweli kabisa.
 
labda ustaarabu wa kinafiki

hawa wengi ni waovu sana deep inside sababu hakuna sehemu pana rushwa kama hapa,kesi za ubakaji na kulawiti ni nyingi hasa kwa watoto

uchafu ndio mwingi sana,maeneo wanayoishi ni uchafu kwa kwenda mbele...mitaro ya maji kunuka mingi

matumizi ya vyoo ni ya hovyo sana...zanzibar mjini hapa hakuna choo cha kulipia chenye staha hata kimoja,vyote unaingia unawaza tu utoke salama

sehemu za vyakula ni chafu na hakuna anayejali sana kuhusu uchafu

sijui unasemea ustaarabu gani ndio ukianzia pwani
Mim sijakaa Zanzibar Ila nilisoma na wazanzibar wale watu ni wachafu sana, Ila wapemba ni wachapakazi sana ila wa-unguja ni wavivu sana
 
Hapo uliposema usiniletee story naona kuna ukakasi katika uelewa na ufahamu wako.Unaonekana unapenda mabishano na si maelekezano.

Mimi sifahamu.Naomba unitajie teknolojia ambayo dunia nzima inajivunia kutoka Afrika.

Nb 1: Kutovumbua teknolojia haimanishi kuwa hiyo teknolojia huwezi kuwa nayo. Unaelewa maana ya
Technology Transfer??????????

Nb 2: Jaribu kutokuwa na papara, mhemko,kiburi,majivuno,hasira, dharau n.k unapotaka kujifunza jambo lolote.Hivi vitu huwa vikwazo vikubwa katika kujifunza na kutafuta maarifa mapya. Samahani kama nimekukwaza.
Wazanzibar ni wachafu sana karai hilo anamuogeshea mtoto baada ya mda anaoshea vyombo huo ustarabu ni upi unaongelea wale watu ni wachafu sana alafu wao wanaona kawaida
 
Wazanzibar ni wachafu sana karai hilo anamuogeshea mtoto baada ya mda anaoshea vyombo huo ustarabu ni upi unaongelea wale watu ni wachafu sana alafu wao wanaona kawaida
Hoja yako imekosa mantiki kwani imetumia hisia zaidi pamoja na mhemko na siyo uhalisia. Uliposema 'Wazanzibar' ni (maana yake wote) hujawahi na hutawahi kukaa na Wazanzibar wote kwa pamoja halafu ukahitimisha kuwa wote ni wachafu.

Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na si tabia ya jamii nzima. Wengi wao (kama siyo wote )wanafuta imani ya dini ya Kiislamu ambayo katika moja ya mafundisho husisitiza usafi. Kama ilivyo ada ya binadamu kuna watakaofuata na kutii maamrisho na kuna wasiyofuata.(Hapa ni utashi binafsi). Ahsante.
 
Hoja yako imekosa mantiki kwani imetumia hisia zaidi pamoja na mhemko na siyo uhalisia. Uliposema 'Wazanzibar' ni (maana yake wote) hujawahi na hutawahi kukaa na Wazanzibar wote kwa pamoja halafu ukahitimisha kuwa wote ni wachafu.

Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na si tabia ya jamii nzima. Wengi wao (kama siyo wote )wanafuta imani ya dini ya Kiislamu ambayo katika moja ya mafundisho husisitiza usafi. Kama ilivyo ada ya binadamu kuna watakaofuata na kutii maamrisho na kuna wasiyofuata.(Hapa ni utashi binafsi). Ahsante.
unabishia ukweli,huku kwenu mtu kopo la chooni hilo hilo anatumia jikoni.

hata huwa sielewi kwanini

hawana mipaka mkipanga mnakua tu kama familia kwa lazima

badilikeni
 
kuhusu wanawake wengi ni wasafi usoni hapo...kutengeneza suraa aaahhh wanajua

ila kwingine sasa wengi siyo wasafi,wengi ni sababu ya zile nguo wanalazimishwa kuvaa

sababu ya manukato ndio unaweza pumbazika,ila wengi ni wachafu sana pia...hasa waswahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom