huna jipya
asiye na jipya ni mnyika na slaa na nyaraka za lowasa na richmond zilizowapa sifa wakati leo wamefyata mkia,aibu kwa unafiki ,wape salamu boy,
huna jipya
hueleweki wewe!
hahaha...asante sana , kiukweli umeandika kila kitu ! na nakiri kwamba una akili sana , umeona ambayo wengi hawajaona , hongera sana .
Mwandishi wa hii makala kumbe ni yule Masawe Melisa anaye muabudu Slaa na Mbowe.....sijaona cha maana hapo bali hadithi za Bavicha...