Uikitaka kujua watz no watu was aina gani angalia tukio kama LA kisanii LA Jana, wakati anajiuzulu uraisi mwaka 2008 nchi ilizizima kwa shangwe fisadi katoswa, Leo watu kama mazuzu wanashangilia upuuzi eti safari ya matumaini ni upuuzi mwingine kama ule wa kikombe cha babu wa loliondo, hii inaonyesha watz tulivyo na IQ ndogo