abdallah mwakasege
Member
- Sep 23, 2012
- 22
- 0
Wanasiasa na wabunge wanaomwunga mkono Lowasa ni wale ambao hawakuonwa au kupata promotion kwa Kikwete, hivyo kichocheo ni kwa masilani ya nchi bali masilani binafsi. Hiyo inaonekana revange dhidi ya Kikwete. Lakini jambo la kushangaza wengi wanaomwunga mkono Lowasa hawamo kwenye kamati kuu au halmashauri kuu ya CCM. Watamteteaje Lowasa wakati hawaingii Halmashauri na kamati kuu?
Kwa statement yako, wepi ni wengi kati ya waliokosa promotion kwa wabunge? Au waliopata promotion?kisha utapata jibu. Kwa taarifa za wajuzi Wa mambo wabunge 154 team lowasa,na wanec 800 wengine wenye kura turufu utawaona white States siku hiyo. Wale waliokuja pale ni viongozi tu team EL.