Mambo 10 ambayo mwanamke anamzidi mwanaume

Eddy Love

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
13,652
8,542
1. Wana nguo nyingi sana kuliko wanaume
2. Wanafahamu nani Baba wa watoto wao waliozaa
3. Ni wepesi kupenda,wakipenda wanapenda ukweli ukweli
4. Wanaoga mara nyingi zaidi kwa siku moja
5. Wana huruma sana ingawa mara nyingi huruma yao huwa inawaponza
6. Wanauwezo wa kubadilisha tabia ya Mwanaume muda wowote ule
7. Wanauwezo wa kuishi na kupendeza popote pale hata kama hawana kazi wala biashara
8. Kwao nywele,uso na kucha ndo vitu vya kwanza kufikiria pindi wanapotaka kutoka
9. Wanauwezo wa kupretend kwa muda mrefu kwenye mapenzi
10. WANAPENDA SANA PESA KULIKO WANAUME
 
Back
Top Bottom