Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Katika sehemu mbalimbali nilizowahi kupita, Nimekuwa nikifuatilia mabinti ambao hutumia ulabu na nimegundua wengi wao ni wepesi kjieleza kwa wenza wao jinsi wajisikiavyo kimapenzi na hisia zao na mambo mengine waziwazi bila kuficha kuliko wasio tumia, Hivyo kupelekea uhusiano wao kuwa imara zaidi!
Ushauri
Msiotumia nawashauri mtumie angalau kidogo tu kama kiburudisho kwa ajili ya afya zenu na kujenga mahusiano mazuri kwa wenza wenu kwa kuwa wawazi kwa mambo yaliyoko kwenye mioyo yenu
Karibuni
Ushauri
Msiotumia nawashauri mtumie angalau kidogo tu kama kiburudisho kwa ajili ya afya zenu na kujenga mahusiano mazuri kwa wenza wenu kwa kuwa wawazi kwa mambo yaliyoko kwenye mioyo yenu
Karibuni