Last edited by a moderator:
Kuna wengine wanaenda kwa waganga ili wauze sana (ujinga),
Masharti ni kinyaa kitupu ukijua wanachoweka. Usiniulize ni nini maana sina ushuhuda
Maandazi gani yanakaangwa kwa maji?Yale maji huyaongea na kwa wale wapenzi wa maandazi maji huonyeshea kwanza k halafu maji hukaangia maandazi!
N:B Sina picha
khee kajuaje?
mkuu habari za maisha mapya mkeo hajambo!
Yale maji huyaongea na kwa wale wapenzi wa maandazi maji huonyeshea kwanza k halafu maji hukaangia maandazi!
N:B Sina picha
Honeymoon imeisha???
Maandazi gani yanakaangwa kwa maji?
wanasaidia kwani vyakula vyao ni fresh ukilinganisha na mahotelini kwani chakula cha mwezi uliopita unakula leo
mkuu shemu wako yupo pouwa sana
Wanatusaidia, lakini wanamambo ya ajabu sana! Kuna mama ntilie mmoja maeneo ya mbezi beach nilipokuwa naishi zamani. Mama ntilie huyu alikuwa anapika chakula kizuri sana hasa supu yake ya utumbo wa ng'ombe ilikuwa tamu balaa!
Nilizoea kupata huduma yake kwa supu ya asubuhi kabla sijakwenda kazini. Kwa muda mrefu nilikuwa mteja maarufu pale, kwa bahati siku moja wakati natoka kazini kuna jirani yangu alinitonya uchafu anaoufanya huyo mama ntilie, kiukweli ni uchafu usioweza kuelezeka
. Kumbe alichokuwa anatufanyia yule mama ni kuchukua yale maji anayochambia wakati wa haja zake ndio anapikia supu. yaani siku nilipokuja kupata ushahidi wa kutosha sikunywa tena supu yake wala kula chakula chake, nilikuwa namuangalia bila kummaliza kila nikipita njia hiyo kuelekea kazini.
umesemaje hapo?! miss chagga ni bachelor?!bachelor????
salama mkuuhabari mkuu
Maandazi gani yanakaangwa kwa maji?
Kuna wengine wanaenda kwa waganga ili wauze sana (ujinga),
Masharti ni kinyaa kitupu ukijua wanachoweka. Usiniulize ni nini maana sina ushuhuda
Wanasema eti kipande cha nyama kidogo huwekwa ofisi kubwa theni kinachanganywa na nyama yote ....mi pia sina ushuhuda.
Wanatusaidia, lakini wanamambo ya ajabu sana! Kuna mama ntilie mmoja maeneo ya mbezi beach nilipokuwa naishi zamani. Mama ntilie huyu alikuwa anapika chakula kizuri sana hasa supu yake ya utumbo wa ng'ombe ilikuwa tamu balaa!
Nilizoea kupata huduma yake kwa supu ya asubuhi kabla sijakwenda kazini. Kwa muda mrefu nilikuwa mteja maarufu pale, kwa bahati siku moja wakati natoka kazini kuna jirani yangu alinitonya uchafu anaoufanya huyo mama ntilie, kiukweli ni uchafu usioweza kuelezeka.
Kumbe alichokuwa anatufanyia yule mama ni kuchukua yale maji anayochambia wakati wa haja zake ndio anapikia supu. yaani siku nilipokuja kupata ushahidi wa kutosha sikunywa tena supu yake wala kula chakula chake, nilikuwa namuangalia bila kummaliza kila nikipita njia hiyo kuelekea kazini.