Sam Seaborn
Member
- Aug 20, 2011
- 98
- 39
Hivi kwa nini mama Zakhia hampi mumewe mheshimiwa Bilal nafasi ya kupumua?
Kwa nini asiongee na mama Salma Kikwete na yeye akawa na NGO yake ambayo itashughulika na mambo ambayo yuko passionate nayo?
WAMA can advise her on what do.
Halafu inaonekana huyu mama mkali sana. she is always serious sijui kwa nini au labda Mzee Bilal ana m bully
anywa habari ndio hiyo
Kwa nini asiongee na mama Salma Kikwete na yeye akawa na NGO yake ambayo itashughulika na mambo ambayo yuko passionate nayo?
WAMA can advise her on what do.
Halafu inaonekana huyu mama mkali sana. she is always serious sijui kwa nini au labda Mzee Bilal ana m bully
anywa habari ndio hiyo