Habari za wakati huu ndugu zangu.!

Kuna mambo kama siyaelewi kusema ukweli. Toka kifo cha Mwenda zake kuna mambo yanaendelea sielewi yaani sijui ni nini hii ??
Baada ya kifo cha mzee haya mambo yameanza kujitokeza
1. Umeme kukatika katika ovyo
2. Matukio ya kiharifu yameanza kujitokeza.

Swali langu dogo tu, Kwani ni kipi kimebadilika kiasi kwamba haya matukio yaanze kujirudia rudia tena. Ndio mkuu wetu Mama yetu amebadilisha baadhi ya viongozi lakini sehemu kubwa ya uongozi wa Meko upo kazini hadi leo alipobadilisha Mama SSH ni sehemu ndogo mnoo. Ndio naona kama kuna mchezo mchafu unafanywa na watu ili kuonyesha mama hafanyi kazi ili hali mama anafanya kazi hata zaidi ya vile watu walitegemea.
kwetu Lindi umeme siku hizi umetulia sana kukatika ni dadra sana so acha uongo
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Aiseee uandishi mbovu kabisa. Anyway ujumbe umefika. UBINAFSI wa Watanzania
 
Tatizo wabongo HUBADILISHWA na mfumo wanaoukuta au maslahi binafsi , wabongo wengi wakipata madaraka tu nao hubadilika MF: Humpley polepole na wengine

Lakini pia husifananishe Nchi tajiri kama Japan na hizi nchi zetu za ulimwengu wa tatu. Wenzetu ni matajiri wakubwa hawana tena na shida za pesa bali mabadiliko ya kushika uchumi wa Dunia huku kwetu mtu akipata madaraka tu anaiba kwa ajili yake, kisha anaanza kuiba kwa ajili ya familia yake baadae anaanza kuiba kwa ajili ya ukoo wake akimaliza anastaafu kazi kwisha hakuna kilichofanyika. ( au kutengeneza connection za watoto wao pindi wakitoka madarakani )

Wajapan karibu wote hawana shida na pesa tayari wana maisha mazuri ndio maana wapo tayari kuachia ngazi wenye uwezo wakae sisi tutafikia level hizo miaka 100 ijayo.
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
REA Tanroads amejaxa watoto wa dada kibao.....aliwemo Jesca..
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Samia siyo mama yenu. Achani kujipendekeza na kuabudia watu. Mbona hamkuwaita marais wanaume baba zenu?
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Wtf?mama yako huyo?Ni rais atumike kama rais msilete mambo yenu ya kudekadeka eti Mama,mama pumbavu sana.
 
Back
Top Bottom