Wakuu kulikoni mama yetu mpendwa, Salma Kikwete, kutokuonekana hadharani mara baada ya JK kuapishwa? Si kawaida yake kutokuonekana majukwaani, kulikoni?
Wakuu kulikoni mama yetu mpendwa, Salma Kikwete, kutokuonekana hadharani mara baada ya JK kuapishwa? Si kawaida yake kutokuonekana majukwaani, kulikoni?
Mama amechoka sana baada ya kampeni za shuka kwa shuka, sasa anapata kajimapumziko kadogo, atarudi kwenye viriri karibuni! Unam-miss ? Atafikishiwa ujumbe na wanaohusika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.