Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Baada ya Mh. Rais Magufuli kutangaza wiki ijayo kufungua michezo na Vyuo,
Sasa tunakuomba Waziri Mama Ndalichako kutoa mwongozo na kutangaza tarehe rasmi ya kufungua vyuo.
Ili kutuwezesha wazazi kuandaa gharama za hawa vijana ikiwemo nauli ya kuwapeleka vyuoni kwao.
Wenzetu Uganda tayari wameitangaza tarehe 04 June kufungua shule za misingi secondary na vyuo.
Karibu Mama tunakusubiri.
Sasa tunakuomba Waziri Mama Ndalichako kutoa mwongozo na kutangaza tarehe rasmi ya kufungua vyuo.
Ili kutuwezesha wazazi kuandaa gharama za hawa vijana ikiwemo nauli ya kuwapeleka vyuoni kwao.
Wenzetu Uganda tayari wameitangaza tarehe 04 June kufungua shule za misingi secondary na vyuo.
Karibu Mama tunakusubiri.