sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,364
Nmefurahi leo kumuona Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano kuwa miongoni mwa waumini walio uzuria ibada ndani ya kanisa la SCOAN hakika nmefurai sanaa.
Niseme ukweli pia nimefurah kumuona Mh Rais wetu hapa St peter nilitaman nimfate nimnongoneze jambo ila nilishindwa kbsa
Ila kwa kuwa nimemuona mke wake akiwa Nigeria, na nmemuona TB joshua akitabili kuwa Taifa lake litaingia GIZANI kidgo baada ya uchaguzi kufanyika,badi namuomba Mama yetu wa Taifa kwa sasa amwambie huyo bwana kuwa tunauchaguzi wa serikali ya mtaa ili atabili nini kitajili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme ukweli pia nimefurah kumuona Mh Rais wetu hapa St peter nilitaman nimfate nimnongoneze jambo ila nilishindwa kbsa
Ila kwa kuwa nimemuona mke wake akiwa Nigeria, na nmemuona TB joshua akitabili kuwa Taifa lake litaingia GIZANI kidgo baada ya uchaguzi kufanyika,badi namuomba Mama yetu wa Taifa kwa sasa amwambie huyo bwana kuwa tunauchaguzi wa serikali ya mtaa ili atabili nini kitajili.
Sent using Jamii Forums mobile app