Mama yetu "first lady" waokoe wanawake wa Tanzania

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Jun 2, 2015
2,138
1,387
Imekuwa ni kawaida kwa wake wa marais hapa Tanzania kutokubaki nyuma katika harakati za kusaidia maendelea hasa kwa kundi la wanawake.
Tukianza na mama Anna Mkapa alifanya mambo mazuri kupitia foundation yake. Naye mama yetu Salima Kikwete tumeshuhudia juhudi kubwa ktk kumsaidia mwanamke kupata maendeleo.

Lakini hadi sasa sijaweza kujua hatima ya mama etu Janet Magufuli?
Tafadhari mama wanawake wa nchi hii wanahitaji mchango kwa ukaribu zaidi hasa na ukizingatia taaluma uliyokuwa nayo,italeta chachu kwao,uanze mapema usichelewe.

Mungu akupe ujasiri mama Janet Magufuli.
 
Imekuwa ni kawaida kwa wake wa marais hapa Tanzania kutokubaki nyuma katika harakati za kusaidia maendelea hasa kwa kundi la wanawake.
Tukianza na mama Anna Mkapa alifanya mambo mazuri kupitia foundation yake.
Naye mama yetu Salima Kikwete tumeshuhudia juhudi kubwa ktk kumsaidia mwanamke kupata maendeleo.
Lakini hadi sasa sijaweza kujua hatima ya mama etu Janet Magufuli?
Tafadhari mama wanawake wa nchi hii wanahitaji mchango kwa ukaribu zaidi hasa na ukizingatia taaluma uliyokuwa nayo,italeta chachu kwao,uanze mapema usichelewe.
Mungu akupe ujasiri mama Janet Magufuli.


Wewe lazima mke/girlfriend wako atakuwa anachepuka tu, wanawake hawapendi wanaume wa mafumbo mafumbo ni ishara ya udhaifu na mwanaume wa kama wewe dhaifu ni
no go kwa wanawake!
 
Wewe lazima mke/girlfriend wako atakuwa anachepuka tu, wanawake hawapendi wanaume wa mafumbo mafumbo ni ishara ya udhaifu na mwanaume wa kama wewe dhaifu ni
no go kwa wanawake!
Mkuu hapo fumbo ni lipi? kwani kumuomba aanze mapema ni tatizo. Nimeshuhudia hadi jirani wakinufaika na hizo harakati za wake wa marais. Kama wewe huoni umuhimu sawa. Lakin elewa impact yao ni kubwa sana kwa jamii. sio wote wapo ktk mgao wa lumumba hapo....
 
Back
Top Bottom