DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Assalaaaam....
Nafikiri taarifa zitafika tu panapohusika...kusema haki mpaka mda huu bado sijaelewa unachokijenga katika elimu yetu hii ya kuungaunga.
Hakuna asiyejua kwa maneno na kwa vitendo ya kuwa ajira za walimu kwa sasa zimekuwa ngumu hasa kwa upande wa walimu wa masomo ya sanaa,na ikafika kipindi mkasema kuna walimu mpaka wa ziada wa masomo hayo.
Sasa kinachonitatiza ni vipi bado mnadahili walimu hawa kwa wingi kupitiliza kama vile nchi ina uhaba mkubwa wa walimu hawa?
Si mungewadahili kidogo tu kutokana na kutokuwa na kilaombele kwasasa?au mmewaandalia nini?waje kulia na kusaga meno watakapomaliza?
Pointi yangu ya msingi ipo kwa walimu hawa wa diploma ktk masomo ya sanaa mumewachukua wengi kushinda hata miundombinu ya vyuo vyenu?wanafikia kulala wawiliwawili ktk madeka kweli?
Nini mumewaandalia walimu hawa?
Hamzingatii magonjwa wanayoweza kuambukizana?hamzingatii hata majanga mengine ya kimaadili kwa vijana hawa?mumedahili watu wazima wengine wana ndoa zao kisha munakuja kuwalaza wawiliwawili kitandani kweli?
Halafu ajira zenyewe hakuna?
Mambo mnayofanyaga huko ktk mawizara muda mwingine hata mtoto wa std 7 hawawezi kufikiria hivyo....
Nafikiri taarifa zitafika tu panapohusika...kusema haki mpaka mda huu bado sijaelewa unachokijenga katika elimu yetu hii ya kuungaunga.
Hakuna asiyejua kwa maneno na kwa vitendo ya kuwa ajira za walimu kwa sasa zimekuwa ngumu hasa kwa upande wa walimu wa masomo ya sanaa,na ikafika kipindi mkasema kuna walimu mpaka wa ziada wa masomo hayo.
Sasa kinachonitatiza ni vipi bado mnadahili walimu hawa kwa wingi kupitiliza kama vile nchi ina uhaba mkubwa wa walimu hawa?
Si mungewadahili kidogo tu kutokana na kutokuwa na kilaombele kwasasa?au mmewaandalia nini?waje kulia na kusaga meno watakapomaliza?
Pointi yangu ya msingi ipo kwa walimu hawa wa diploma ktk masomo ya sanaa mumewachukua wengi kushinda hata miundombinu ya vyuo vyenu?wanafikia kulala wawiliwawili ktk madeka kweli?
Nini mumewaandalia walimu hawa?
Hamzingatii magonjwa wanayoweza kuambukizana?hamzingatii hata majanga mengine ya kimaadili kwa vijana hawa?mumedahili watu wazima wengine wana ndoa zao kisha munakuja kuwalaza wawiliwawili kitandani kweli?
Halafu ajira zenyewe hakuna?
Mambo mnayofanyaga huko ktk mawizara muda mwingine hata mtoto wa std 7 hawawezi kufikiria hivyo....