Mama yangu alimdhamini mkopo mkwilima bila ya sisi watoto kushirikishwa, kilichotokea...

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Mar 5, 2012
745
633
Nilipokuwa bado nasoma kidato cha pili mwka 2009, nliomba uhamisho nje ya mkoa ili kuendelea na masomo! Nliacha dada zngu weng walioolewa lkn c mbal sana n homestead n mm ndo lastborn n ni mtoto wa kiume pekee ktk tumbo la mama!

Kuna sister ameolewa n mumewe alikuwa n mfanyabiashara ndogondogo za kutembeza vyombo street! Aliamua kuchukua mkopo kw shrka moja la SEDA kiac cha shln laki tano na alimshrikisha mama yetu na wakaweka dhamana ng'ombe wa kulima watatu bila ya sisi watoto kujua! Baada ya hapo jamaa alshndwa kurejesha n kukimbilia Dar!

Ng'ombe waliuzwa ili kuulipa ule mkopo n ndipo tulipokuja kujua! Tulijarbu kumuuliza mama juu ya suala hli lkn alijiumauma sana! Na wle ng'ombe ndo tulkuwa tulikuwa tunawategemea hasa mm mwnfnz kwn nlikuwa nawatumia kulima vibarua ili kukidh mahtaji y shule na hakuna wengne sasa! Aliporudi jamaa mwka jana,alikuwa mgonjwa taaban na pakufikia alikuwa hana na hata uelekeo wa kutulipa hana! Mama hvi sasa ni mzee na nimefaulu kwnda A-level na cna pa kushka! Nilipo hvi sasa si kw ndugu bal n kw rfk tu na ni m2 mzima! Jaman wanaJF,what would i do to proceed wth ma studies?

NB;nyumban ni bukene(tbr) n kw sasa nipo shinyanga nlikohtmu kdto cha nne mwaka jana!
 
nilipokuwa bado nasoma kidato cha pili mwka 2009, nliomba uhamisho nje ya mkoa ili kuendelea na masomo! Nliacha dada zngu weng walioolewa lkn c mbal sana n homestead n mm ndo lastborn n ni mtoto wa kiume pekee ktk tumbo la mama!

Kuna sister ameolewa n mumewe alikuwa n mfanyabiashara ndogondogo za kutembeza vyombo street! Aliamua kuchukua mkopo kw shrka moja la seda kiac cha shln laki tano na alimshrikisha mama yetu na wakaweka dhamana ng'ombe wa kulima watatu bila ya sisi watoto kujua! Baada ya hapo jamaa alshndwa kurejesha n kukimbilia dar!

Ng'ombe waliuzwa ili kuulipa ule mkopo n ndipo tulipokuja kujua! Tulijarbu kumuuliza mama juu ya suala hli lkn alijiumauma sana! Na wle ng'ombe ndo tulkuwa tulikuwa tunawategemea hasa mm mwnfnz kwn nlikuwa nawatumia kulima vibarua ili kukidh mahtaji y shule na hakuna wengne sasa! Aliporudi jamaa mwka jana,alikuwa mgonjwa taaban na pakufikia alikuwa hana na hata uelekeo wa kutulipa hana! Mama hvi sasa ni mzee na nimefaulu kwnda a-level na cna pa kushka! Nilipo hvi sasa si kw ndugu bal n kw rfk tu na ni m2 mzima! Jaman wanajf,what would i do to proceed wth ma studies?

Nb;nyumban ni bukene(tbr) n kw sasa nipo shinyanga nlikohtmu kdto cha nne mwaka jana!
pole sana kijana ndio ukubwa labda na maswali kidogo kwako
umefaulu kwa kiwango gani?
Selection umepata ? Nani mkoa gani ?
Naomba nipate maelezo kidgoo kutoka kwa kuhusu hayo
 
Back
Top Bottom