Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Mama yangu alifanya kazi ya ualimu kwa miaka zaidi ya 30 kabla ya kufukuzwa kwa kuwa na cheti fake. Najiuliza Serikali hii ya CCM ikamuajiri na Serikali hii ya CCM ikamfukuza, mama alitufundisha na tukafaulu kwenda sekondari, hakupewa kiinua mgongo kwa muda aliofanyia kazi.
Katika maisha yangu yote siwezi kuisahau Serikali ya awamu hii. Imekuwa haina huruma kabisa. Nimemwambia mama tusiipigie kura CCM tuwapigie wapinzani hata wasiposhinda.
Katika maisha yangu yote siwezi kuisahau Serikali ya awamu hii. Imekuwa haina huruma kabisa. Nimemwambia mama tusiipigie kura CCM tuwapigie wapinzani hata wasiposhinda.