Mama yake Wema anaongea kwenye take one ya Clouds FM, ametishia watu wanaoandika habari mbofu mbofu kuhusu wema atahangaika nae mahakani, kasema wema ni mtoto mzuri sana lakini waandishi wamekua wakiandika kuhusu wema kwa sababu magazeti wanafanya biashara kwa kumuandika wema.
kamponda diamond kwamba amemfanyia mambo mbofumbofu wema, kamponda mtu anaitwa shakur kwamba ni mnafiki sana.
amesema watu wanamtumia wema ili kupanda (chati) amewaambia watapanda na watashuka lakini wema atabaki juu.
MyTake:
Wema na mama akili yao moja!
kamponda diamond kwamba amemfanyia mambo mbofumbofu wema, kamponda mtu anaitwa shakur kwamba ni mnafiki sana.
amesema watu wanamtumia wema ili kupanda (chati) amewaambia watapanda na watashuka lakini wema atabaki juu.
MyTake:
Wema na mama akili yao moja!