Hivi haya mambo ya laana ni afrika tu au wazungu wanayo???
AhsanteKwanza; Laana huwatoka walio laaniwa na hiyo laana huwapata walio chini ya laana. Hivyo ndivyo laana hutokea. Pili; Kama kweli alimtenda vibaya mamake hadi mamake kufikia kumwapiza kuwa asifike kwenye mazishi yake, alitakiwa apatane naye kabla hajafa. Mapatanisho hutokea baina ya mtu na mtu sio mtu na mzimu. Mzimu ni roho hivyo haiwezi patana na mtu katika kitu kilichotokea kwenye mwili. Neno la Mungu linasema; Patana na mshitaki wako kabla hajakufikisha kwa kadhi.
Sasa, Kwa kuwa hakujali kupatana na mamake akiwa hai alikosa nafasi ya kulimaliza hilo jambo hata kwa kutumia watu wengine. Huyo mama ka angalikataa, na kutokana na juhudi kali za kuomba msamaha, hiyo laana isingalimpata.
Ushauri;
Huyo rafiki yako, kwamza akubaliane na hiyo hali kuwa; Nilimkosea mamangu ambaye sasa hayupo. Amwombe babake radhi na kuacha kuzingua zaidi. Nasema, aombe radhi ila asikubali kuburuzwa kwa kupigwa faini zisizo na kichwa wala mkia. Awaambie hao wazee kuwa, niliyemkosea hayupo hivyo naomba asitokee mwingine kuvaa nafasi ya mama.
Jambo jingine;
Wafu hawana sehemu na sisi tulio hai. Huyo aliyekufa hataweza kukutingisha. Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi naye atakuponya na milaana hiyo yote
Hiyo ni kwa viumbe wanaadamu wote. Tofauti ya wenzetu wazungu wako zaidi kama wanyama kuliko binadamu. Huwa hawako karibu na watoto zao kama tulivyo sisi. Wao hufukuza watoto wao wa kuzaa nyumbani kama kuku anavyofanya kwa wanawe akipata vifaranga. Hiyo hufanya ule uwezekano wa kutoa laana kuwa finyu kwa kuwa kila mmoja yuko kivyake.Hivi haya mambo ya laana ni afrika tu au wazungu wanayo???
Yepi sasa hayo? Mzazi asiye na makuu daima huombea familia yake sio laanaTaarifa ya kutokuelewana na wazazi wake,nimesikia kwa mzee wake , alisema mambo ya kifamilia tu.
Asante kwa mchango wako muhimu,baba yake hana tatizo naye kabisa na amemsamehe, anataka akamwombe msamaha mama yake na kufanyiwa mila nyingine,hakuingia ndani katika hili yani nini kitafanyika.Kwanza; Laana huwatoka walio laaniwa na hiyo laana huwapata walio chini ya laana. Hivyo ndivyo laana hutokea. Pili; Kama kweli alimtenda vibaya mamake hadi mamake kufikia kumwapiza kuwa asifike kwenye mazishi yake, alitakiwa apatane naye kabla hajafa. Mapatanisho hutokea baina ya mtu na mtu sio mtu na mzimu. Mzimu ni roho hivyo haiwezi patana na mtu katika kitu kilichotokea kwenye mwili. Neno la Mungu linasema; Patana na mshitaki wako kabla hajakufikisha kwa kadhi.
Sasa, Kwa kuwa hakujali kupatana na mamake akiwa hai alikosa nafasi ya kulimaliza hilo jambo hata kwa kutumia watu wengine. Huyo mama ka angalikataa, na kutokana na juhudi kali za kuomba msamaha, hiyo laana isingalimpata.
Ushauri;
Huyo rafiki yako, kwamza akubaliane na hiyo hali kuwa; Nilimkosea mamangu ambaye sasa hayupo. Amwombe babake radhi na kuacha kuzingua zaidi. Nasema, aombe radhi ila asikubali kuburuzwa kwa kupigwa faini zisizo na kichwa wala mkia. Awaambie hao wazee kuwa, niliyemkosea hayupo hivyo naomba asitokee mwingine kuvaa nafasi ya mama.
Jambo jingine;
Wafu hawana sehemu na sisi tulio hai. Huyo aliyekufa hataweza kukutingisha. Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi naye atakuponya na milaana hiyo yote
Sawa asante,tujuze zaidi,nini kipo nyuma ya hii kitu laana.Tatizo siyo wafu bali laana aliyotamkiwa na mama yake hii ipo Kiroho zaidi.
Maisha yana mambo yake aisee.Mkuu mimi mshua na maza ndio watu namba moja kwangu na huwa nashangaa inakuwaje mtu ashindwe kuelewana na wazazi wake hadi wamtakie mabaya
Hakuniambia,chanzo cha Mgogoro hadi kufikia hapo.Yepi sasa hayo? Mzazi asiye na makuu daima huombea familia yake sio laana
wazungu wako huru sana na hueshimu maamuzi ya mtu hivyo hata kama amkane mama yake wala hana muda wa kumuwekea kinyongo (maana ana heshimu maamuzi yake na hana muda wa kumtaka maana anajitosheleza)Hivi kwann aya mambo yapo africa tu nimekuwa nikisoma case nyingi za wazungu wakigombana na wazazi wao kiasi cha kukataa kabisa kama sio wazazi wao lakini hakuna hata mmoja nimeona analalamika kuwa hajafanikiwa sababu ya laana ya wazazi wake?
Kuna shida mahali nadhani ili swali limekaa kwenye mindset zaidi halina uhalisia hata kidogo jamaa ana psychological issue na wala sio laana kama anavyoamini
Wanabodi,humu nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana toka nimejiunga hapa 2014 .Naamini kuna watu makini wenye uelewa mkubwa wa elimu ya ulimwenguni huku ,elimu au maarifa yasiyosemwa au yaliyopuuzwa na watu wengi zama hizi.
Naamini swala hili litapata ufumbuzi kama mengine mengi yanayoletwa humu. Nina mambo machache na hitaji kujifunza hapa, haya maswali yanaulizwa sana sana,wengi wanajiuliza hasa wakifiwa.Dini nyingi zimejaribu kujibu maswali haya ,nahitaji kujua zaidi ya majibu hayo.Mimi ni Mkristo,nimesoma na dini nyingine Kwa kiasi chake.
Wiki iliyopita nilirudi nyumbani,kwa zaidi ya miaka miwili hawakuniona.Nilipita kusalimia ndugu na jamaa,nilipita kwa baba wa rafiki yangu,kumjulia hali pia kumpa pole ,mke wake alifariki mapema mwaka 2018. Pamoja na hayo nilihitaji kujua alipo rafiki yangu,toka January nimekuwa nikimpigia simu bila mafanikio.
Rafiki yangu alikuwa anajihusisha na biashara na ufugaji,halipiga hatua sana.Tulimuona kijana wa mfano,kupambana na maisha,lakin hakuwa na mahusiano mazuri na wazazi wake.Mama yake alimwambia,asisogelee jeneza lake akifa.Saivi ni mwaka na miezi kadhaa kilakitu amekwama ,amerudi hatua nyingi nyuma. Kama kapagawa ,anashinda ndani au la maporini .
Mazungumzo na baba yake kwa ufupi ni kuhusu matatizo ya rafiki yangu na utatuzi wake.anasema
"Mwenzako yupo gizani,ameandamwa na mikosi,Mama yake amemlalia vibaya huko,ananung'unika hata kwenye msiba hakumuona.Mshauri rafiki yako akaombe msamaha ,pia akubali kufanyiwa mila nyingine atoke kizani,Mimi hataki hata kuniona,nimemtumia wadogo zake,aje nyumbani hataki ,nimemfata kwake mara4 anajifungia ndani"
Baada ya mazungumzo hayo nikajaa na maswali haya.
1:Kudharau au kupuuza mila kunaweza kukuletea matatizo?
2;Je wafu wanaweza kuzuia mambo yetu?kwa namna gani?
3:Je wafu wanasikia ? Wanaona?
4:Je wanasamehe?
5:Je wanachukia?nini kinafanya wachukie?
6:Je wanaweza kutusaidia?kwa jinsi gani?
7;Wapo wapi ?wanafanya nini?
8:Je tunaweza kuonana nao?
9:Ongeza cha ziada,kama kipo kupanua zaidi mada.
NB:Nahitaji kujua , haya nje ya mfumo wa dini,watu wanaelewa nini ? wanafanya nini?, Katika mazingira kama haya.
Asanteni
Yeah, lakini nini kipo nyuma ya laana?Laana zipo mkuu...Usijakumfanyia ubaya mama yako akakulaani nakwambia Hutafanikiwaa kamwee!! Wazazi ni Mungu wa pili hasa mama walahi chamoto utakionaa..
Kwanza; Laana huwatoka walio laaniwa na hiyo laana huwapata walio chini ya laana. Hivyo ndivyo laana hutokea. Pili; Kama kweli alimtenda vibaya mamake hadi mamake kufikia kumwapiza kuwa asifike kwenye mazishi yake, alitakiwa apatane naye kabla hajafa. Mapatanisho hutokea baina ya mtu na mtu sio mtu na mzimu. Mzimu ni roho hivyo haiwezi patana na mtu katika kitu kilichotokea kwenye mwili. Neno la Mungu linasema; Patana na mshitaki wako kabla hajakufikisha kwa kadhi.
Sasa, Kwa kuwa hakujali kupatana na mamake akiwa hai alikosa nafasi ya kulimaliza hilo jambo hata kwa kutumia watu wengine. Huyo mama ka angalikataa, na kutokana na juhudi kali za kuomba msamaha, hiyo laana isingalimpata.
Ushauri;
Huyo rafiki yako, kwamza akubaliane na hiyo hali kuwa; Nilimkosea mamangu ambaye sasa hayupo. Amwombe babake radhi na kuacha kuzingua zaidi. Nasema, aombe radhi ila asikubali kuburuzwa kwa kupigwa faini zisizo na kichwa wala mkia. Awaambie hao wazee kuwa, niliyemkosea hayupo hivyo naomba asitokee mwingine kuvaa nafasi ya mama.
Jambo jingine;
Wafu hawana sehemu na sisi tulio hai. Huyo aliyekufa hataweza kukutingisha. Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi naye atakuponya na milaana hiyo yote
Hivi huu uongo huwa mnautoa wapi?Laana zipo mkuu...Usijakumfanyia ubaya mama yako akakulaani nakwambia Hutafanikiwaa kamwee!! Wazazi ni Mungu wa pili hasa mama walahi chamoto utakionaa..
Ukweli ni upi? Tupe unachojua zaidi.Hivi huu uongo huwa mnautoa wapi?
Ok ok okMwambie akaombewe tu kila kitu kinakwisha
Uongo sababu unataka wenzio wafanye...Fanya wewe...!!Hivi huu uongo huwa mnautoa wapi?
Tujuze zaidi mkuu.Yanatenguka ila kwa machozi jasho na damu