Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF,

Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.

Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.

Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.

Mama anaitwa Irene Mzava, alihamishwa kutoka TRA Temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho.

Baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getini na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.

IMG-20211231-WA0045.jpg
 
Anakuzidi kipato, anakudharau.

Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.



Mshahara wa Dhambi ni Mauti.



Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...



siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko


Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo,


Bladifakeni.
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
 
Izi habari zinatisha,.huu mwaka unaisha vibaya sana Mauaji yamekua mengi.
Mungu uturehemu.
Mauaji yapo toka zamani
Sema sahvi sim na mitandao ya kijami
Imefanya habari kupatikana kwa kasi

Huyo mama nimeona kwa Joyce kiria kuwa mume kamuua na kukimbia
Sumbawanga huko kuna mme kamkata mke wake masikio kaondoka nayo

Ova
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Word

Ova
 
Anakuzidi kipato, anakudharau.

Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.



Mshahara wa Dhambi ni Mauti.



Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...



siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko


Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo,


Bladifakeni.
Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au?
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Naona sheria ya kuoa wanawake wengi iruhusiwe tu kunusuru wanaume wasiue mwanamke akiwa mmoja na akapata dodge kukuzidi umekwisha, utafanyiwa vituko mpaka pombe ardhi ikumeze
 
M naweza msinielewe

Kama una mpango wa KUOA sasa..

Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.

Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.

Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.

Ni Mara mia, Kuzalisha uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.

Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.

UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.

Achana na minyama minyama hiyo ,mihips, mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama, mihips.
 
Inatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana
 
M naweza msinielewe


Kama una mpango wa KUOA sasa..


Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.


Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.



Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.



ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.



Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.


UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.



achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .

Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu, kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa, hizo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana.
 
M naweza msinielewe


Kama una mpango wa KUOA sasa..


Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.


Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.



Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.



ni Mara mia, Kuzalisha ,uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.



Kwa Dunia ya sasa tulonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.


UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.



achana na minyama minyama hiyo ,mihips ,mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama , mihips .
Doctor.....!
 
Back
Top Bottom