msuyaz
Member
- Sep 4, 2017
- 53
- 108
Mwambie atafute mzazi mwenzie.
Achana naye anataka akuachie mikosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana naye anataka akuachie mikosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitumiwa SMS kisha akakata Simu baada ya kujifanya hamsikii vizuri sababu ya mtandao,we mbona huelewiii!?usiku akanituma sms kaniuliza
umelala?
Ndiyo
Na nani?
Peke yangu
Akaguna MMhhhhh siamini, nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa changu hua kigumu kuelewa bas napataga shida mnoAlitumiwa SMS kisha akakata Simu baada ya kujifanya hamsikii vizuri sababu ya mtandao,we mbona huelewiii!?