Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Mama kaona huna pesa bora akutoe relini amtaftie mwanae buzi lenye pesa. Ma single mama wako kimaslah zaidi.
Halafu exxperience yangu watoto wa kike wanaolelewa na ma single mamaz mara nyingi wanakuja kua wasumbufu sana kwenye ndoa.
Mungu aliniepushia hicho kikombe nashkuru.
Halafu exxperience yangu watoto wa kike wanaolelewa na ma single mamaz mara nyingi wanakuja kua wasumbufu sana kwenye ndoa.
Mungu aliniepushia hicho kikombe nashkuru.