Mama wa .com

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,587
215,179
1642185848947.png

1642185874454.png
 
Eti Bi Mikopo kakopa tena trilioni ngapi huko? Nasikia mtoto wa kigogo mstaafu na yule wa nishati wanapigwa chini soon.
 
... hivi kwanini wanawake (baadhi) wanadhani maungo yao ya ndani ni kitu cha kuachwa kionekane ovyo ovyo? Kuna nini kipya humo ambacho hakijulikani au cha tofauti? Rubbish!
 
Anafanana na B Sandra full copy.lakini kwenye sura tu sio kwengine.
Bi Sandra ndo nani? Isije ikawa unamaanisha yule Chief wa usukumani.... subiri kesi ya mwenyekiti iishe hatutaki kesi mbili kwa mpigo
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom