Freiston
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 302
- 339
Acha kuwa kama mchawi wewe... vyeo vya heshima hutolewa na ni jambo la kawaida duniani kote. Mm sijui wewe ni mtu wa wapi na hata smart phone cjui umepata wap wakat hamna kitu. Kila siku mnalia kupingapinga tu bila hata kufanya reasoning kdg... kila jambo Magufuli,,,, una mimba yake uzae yaishe... mwache shujaa wetu apumzike kwa amani...Ila huu upuuzi wa kupeana TU vyeo kwa aiili ya jambo fulan ndyo imeathir had elimu yetu
Vyeo vya jeshi vpo katika mtiririko maalumu lazma uhenye na kusomea hicho cheo
Huu mtindo alileta bwana Magufuli ukifanya Jambo likimpendeza bas kupewa nyota n suala la kawaida
Kumbuka mkuu wa jkt aliyepita nadhan hata cdf hakupendezewa na aliyofanya bwana Magufuli