Kingsman
Member
- Aug 8, 2017
- 84
- 202
Mama Simba Mbugani alisikika akishauriwa na Kobe mwenye Busara kua Ukicheka nao Watakuhujumu ( Vinyonga) na washaanza Kuonesha makucha kama walivyomuhujumu Mkuu wa Nyika Simba Dume aliyetangulia..
Vinyonga hao wanatabia ya Kubadilika badilika Rangi kuendana na Mazingira yaliyopo kwa wakati husika ikumbukwe Mbugani Serengeti wakati Mkuu wa Nyika na Mkuu wa Familia kabla hajatangulia Mbugani yalisikika Maongezi yao wakimkashifu na kumtuhumu! hawa ni Vinyonga hawawezi kubadilika wataficha Rangi yao na Ipo siku wataonyesha wazi!!!... Kobe Mwenye Busara alisikika......
Lakin Pia Kobe mwenye busara aloendelea kumshauri Mama SIMBA kua sasa Mbugani hakuaminiki mamluki ni wengi ivyo ni lazima aimarishe ULINZI wake na Watoto wake maana hali si Shwari Fisi wapo kazini!!
Kobe aliendelea,,,,,ni vyema kuunda Tasisi Maalumi kwa ajili ya Upepelezi na Uchunguzi Mbugani ambayo haitafungamana na Jeshi la Mbwa mwitu hii itasaidia haki na pia Uhuru na kujitegema katika kuchunga na kupeleleza Maswala makosa mbalimbali kwa kufanya ivi Historia itamkumbuka vizazi na vizazi Mbugani..
Kobe hakuishia hapo aliendelea.... kua idara muhimu mbugani zimeshikiliwa na ukanda wa Pwani ( Tamisemi/Nishati/Maji etc ) ambazo katika hizi Mbili kwa sasa zimekya Mwiba kwa Wanyama Mbugani kwa kukoso huduma muhimu kufikia hatua ya kuwepo kwa mgao Akili kwako Mama Simba je hii imetokea Bahati mbaya naomba nikuache utafakari..kobe alimalizia!!
Kobe akaondoka zake akihaidi kua atarudi tena kumshauri mama Simba kama tu akionesha kuchukua hatua mbugani.....
Vinyonga hao wanatabia ya Kubadilika badilika Rangi kuendana na Mazingira yaliyopo kwa wakati husika ikumbukwe Mbugani Serengeti wakati Mkuu wa Nyika na Mkuu wa Familia kabla hajatangulia Mbugani yalisikika Maongezi yao wakimkashifu na kumtuhumu! hawa ni Vinyonga hawawezi kubadilika wataficha Rangi yao na Ipo siku wataonyesha wazi!!!... Kobe Mwenye Busara alisikika......
Lakin Pia Kobe mwenye busara aloendelea kumshauri Mama SIMBA kua sasa Mbugani hakuaminiki mamluki ni wengi ivyo ni lazima aimarishe ULINZI wake na Watoto wake maana hali si Shwari Fisi wapo kazini!!
Kobe aliendelea,,,,,ni vyema kuunda Tasisi Maalumi kwa ajili ya Upepelezi na Uchunguzi Mbugani ambayo haitafungamana na Jeshi la Mbwa mwitu hii itasaidia haki na pia Uhuru na kujitegema katika kuchunga na kupeleleza Maswala makosa mbalimbali kwa kufanya ivi Historia itamkumbuka vizazi na vizazi Mbugani..
Kobe hakuishia hapo aliendelea.... kua idara muhimu mbugani zimeshikiliwa na ukanda wa Pwani ( Tamisemi/Nishati/Maji etc ) ambazo katika hizi Mbili kwa sasa zimekya Mwiba kwa Wanyama Mbugani kwa kukoso huduma muhimu kufikia hatua ya kuwepo kwa mgao Akili kwako Mama Simba je hii imetokea Bahati mbaya naomba nikuache utafakari..kobe alimalizia!!
Kobe akaondoka zake akihaidi kua atarudi tena kumshauri mama Simba kama tu akionesha kuchukua hatua mbugani.....