Mama Shelukindo kaamua kumwaga mboga na ugali

Mkuu, Inawezekana Shelukindo anauhakika hao aliowataja hawa-qualify kwenye hizo nafasi na hivyo kumweka mahali pagumu Luhanjo. Naamini pia nimuhimu kuweka maneno/sentensi zetu vizuri ili isieleweke tuna-sound too general e.g. Kabila fulani hawana uwezo. Personally naona kama mtu ana-qualify kwenye position huwezi kumnyima nafasi eti kwavile kuna Wa-Iringa, Chagga, Haya etc wengi kwenye hiyo ofisi. Lakini pia utakapompa hiyo nafasi hakikisha ana something extra compared to other candidates or else, itakuwa ngumu ku-prove why you chose Mr/Miss "A' and not "B".

On a different note; Nataka nikukumbushe kilichomtokea Anna Tibaijuka alipokuwa UN, na Getrude Mongela alipopata ile position as " President of Pan Africa Parliament ". Pamoja na mambo/matatizo mengine, ukabila ni moja ya sababu iliyowafanya wapoteze nafasi zao i.e. kupendelea/recommend watu wa kabila lao wachukue open position hata pale ambapo hawa-qualify.

Tukumbuke Tibaijuka alihamishiwa "Habitat of Humanity" baada ya hapo and it was a demotion of some sort. Getrude Mongela alishinikizwa kujiuzulu na ilikuwa vuta nikuvute maana alikuwa hayuko tayari kuachia post however, there were some serious ethical issues raised about her including financial mismanagement. Ilikuwa ni either aondoke na dignity or else angeondolewa kwa mpango maalumu na wajumbe wa PAP maana walishakosa imani naye). Ingawa matukio yao yalikuwa vipindi tofauti; lakini ukabila ulikuwa one of the problem waliyokuwa nayo. Ilifika wakati co-bosses/workers wa Tibaijuka walikuwa wanajiuliza: kwanini hata wafanyakazi wa chini e.g. wafagizi lazima atoke Bukoba and not locally "kwenye ofisi zao huko huko?" I have no doubt hawa wawili ni smart lakini pia ukabila ulitia doa kwenye kazi zao.


Mashirika mengi ya kimataifa yana-prefer diversity kwenye kazi i.e. kuajiri watu wa sehemu tofauti tofauti(different cultures) ilikuleta mtizamo tofauti tofauti as well as different strategies for the strength of the organization.

Kumbukumbu zako kuhusu Tibaijuka kwenye utumishi wake UN haujakaa sawa. Mwaka 2000 aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa "United Nations Centre for Human Settlements" Miaka miwili baadaye kituo hiki kilipandishwa hadhi na kuwa mpanga wa makazi wa umoja wa mataifa (UN-HABITAT, "United Nations Human Settlements Programme) na yeye kuteuliwa kuwa Mkurugenzi mtendaji. Kofi Anan alimteua kuwa UN-Under-Secretary General wa ofisi ya UN Nairobi na wakati huohuo akiendelea kuwa Mkurugenzi mtendaji wa UN-HABITAT.

Banki-Moon alimbadilisha kwa nafasi ya under-secretary general mwaka 2010, lakini pia ukumbuke muda wake wa kutumikia UN-HABITAT ulikuwa umekwisha, japo alikuwa na nafasi ya kugombe tena nafasi hiyo.
 
Nadhani mama Shelukindo kaweza kuyasoma maandiko kumi na mawili ukutani....na sasa anajitahidi kuwaonyesha wenzio nao wayaone na kuyasoma na kuyaelewa, sijui kama watawahi kuyasoma na kuyaelewa kabla muda haujaisha.
 
Huyu mama namkubali sana, hamumunyi maneno, Chanachana mbaya Luhanjo, kumbe kajaza wabena wasio na sifa Maliasili na mbaya zaidi yule mkurugenzi wa wanyamapori ni mbena na sifa hana mama kamwambia waazi kabisa amtoe na aache tabia yake ya kuweka watu, kumbe wale wanyama 116 na dege la jeshi Quatar ni maagizo tu. Tuambiwe tu ilikuwa zawadi kwa nani, Ni mimi Violet Luhanjo afisa sheria BOT usiulize tangazo la kazi kwani ulifikiri ni nafasi yako?
Una issu nyeti lakini umeanza kwa kuifinyangafinyanga. ukitoa issue zingatia wapi imetokea, wewe umejuaje nk lakini wewe umeanza conclusion
 
Soon utasikia huyu mama amechomwa sindano, magamba hawana maana hawa, coz wao wanafikiria matumbo yao tu.
 
She is more of a siren and full of untoward intents. Apparently she holds grudges following her hubby's yesteryear's elections defeat, and attempts to vent her spleen by vilifying JK's government image in reprisal. However her malign attitude poses no detriment to the welfare of JK.
<br />
<br />
hiki umetumia kimarekani au ki red indian, naomba unitafsirie plz ili nami nichangie
 
Kumbukumbu zako kuhusu Tibaijuka kwenye utumishi wake UN haujakaa sawa.

Mkuu, kwa kifupi Anna Tibaijuka aliondolewa kwenye nafasi yake au wengine watasema aliondolewa nguvu yakuwa "the main decision maker" Sijaona mahali panasema muda wake ulikuwa umeisha. Hata Ki-moon mwenyewe alitumia technical term akasema anafanya "rotation ya senior members" By the way kama muda wake ulikuwa umeisha sidhani kama UN workers wange-protest. And here is the story:

Wednesday, March 4, 2009
[h=3]TIBAIJUKA REPLACED AMID PROTEST BY UN EMPLOYEES[/h] at 9:04 AM ·
THE STANDARD
NAIROBI, KENYA
March 4, 2009

Dr Anna Kajumulo Tibaijuka has been replaced as the Director General of the UN office.

In her place, the UN Secretary-General Ban Ki-moon, has appointed Mr Achim Steiner to the position effective March 1.

Steiner has been the Executive Director of the United Nations Environment Programme (Unep) since June 2006 - a position he will continue to retain.

In a brief dispatch from the UNON, Moon made the decision based on his policy of rotation among senior managers.

Anna Tibaijuka: Served as Director General of UN Nairobi office since 2006.

Tibaijuka will continue to serve as the Executive Director of the Human Settlements Programme (UN-Habitat), a posit....

More info bofya hapa: Africa News Online: TIBAIJUKA REPLACED AMID PROTEST BY UN EMPLOYEES

And here is a different view of how others thought of her demotion: http://africanewsonline.blogspot.com/2009/03/tibaijuka-replaced-amid-protest-by-un.htmlhttp://www.youtube.com/watch?v=CGE7opIBRYs

Maoni yangu: although UN workers liked her and saw her as a hard worker; top officials were not satisfied with her decisions.
 
Kama kweli hayo ya kupandikiza ukabila yanafanywa na katibu mkuu kiongozi, bvasi bunge lilitakiwa kuunda tume kuchuinguza, na yeye ikidhihirika ni kweli afukuzwe kazi mara moja. Anachofanya ni hatari saana kwa usalama wa nchi katika siku sijazo.
 
Duh! Mkuu wether your argument is true or not, hatuwezi kulinganisha wizara ya maliasili na chama cha siasa. Qualifications za watendaji wakufanya kazi kwenye wizara fulani lazima ziwe way-beyond itikadi. Wizara zote ni mali ya watanzania na sio za CCM or CDM. Kwavile waziri ni CCM haimaanishi wizara ya maliasili inatakiwa iajiri watu wenye itikadi za chama chochote bali qualifications ndio muhimu. However, qualifications zakujiunga na chama cha siasa ni tofauti kabisa inategemea kimejengwa/kimeanzishwa kwa misingi gani. Nafikiri ukiangalia CCM, CDM, CUF, NCCR, TLP, UDP na hata NRA ilipoanzishwaga utaona how different hivi vyama vya siasa vilivyotofautiana kutokana na misingi yao.
Lakini pamoja na yote haya Chama kinaweza kuwa cha kikabila, lakini wizara ya serikali au taasisi yoyote ya serikali haiwezi kuwa ya kikabila..Hata ukitazama India Uhuru wake ulipatikana kupitia wahindi wenye asili ya Hindu kina Ghandi na ndio walikuwa wanachama wengi waliokuwa mstari wa mbele kupambana hadi Uhuru wa India nzima ukapatikana.. lakini mwisho wa siku waliodandia Uhuru huo kwa mbele kina Pakistan, Srilanka na Bangladesh wakajikata..

Vita ya maji maji ilianzishwa na kabia moja lakini ingewezekana kabisa tukapata Uhuru Tanzania nzima kupitia vita ile kama wangefanikiwa. Malengo yao hayakuwa Wahehe waitawale Tanzania bali kuwaondoa wakoloni nchini..Ndivyo Chadema ilivyo kama wewe unaamini Chadema ni ya wachagga subiri kudandia treni kwa mbele lakini kama unakubaliana na malengo yake jiunge leo, panda treni hili tuwe pamoja ktk mapambano. Kama ni kichagga utajifunza ndani ya behewa la treni!....
 
lakini tujiulize kwa nini huyu mama anaamua kuwaumbua maboss wake?? tena kipindi hiki ambacho serikali inashindwa kuchukua maamuzi magumu!

Mume wake ni William Shelukindo aliyekuwa mwanyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge inayoongozwa kwa sasa na January Makamba. Alifanyiwa mizengwe na wana-CCM wenzake wa ngazi za juu katika chama na kupelekea kupokonywa jimbo na January Makamba!!! What Beatrice is doing sounds like a revenge!!!
 
Huyu mama namkubali sana, hamumunyi maneno, Chanachana mbaya Luhanjo, kumbe kajaza wabena wasio na sifa Maliasili na mbaya zaidi yule mkurugenzi wa wanyamapori ni mbena na sifa hana mama kamwambia waazi kabisa amtoe na aache tabia yake ya kuweka watu, kumbe wale wanyama 116 na dege la jeshi Quatar ni maagizo tu. Tuambiwe tu ilikuwa zawadi kwa nani, Ni mimi Violet Luhanjo afisa sheria BOT usiulize tangazo la kazi kwani ulifikiri ni nafasi yako?
Sawa kasema lakini nakuambia sio bure kuna kitu (kuna Mtu anamtengenezea njia).Unakumbuka shukrani zake kwa Mtu amliyempigia kampeni na kupata ujumbe wa kamati ya Bunge.Unakumbuka alisema Mtu huyu ametabiriwa kushika nafasi ya juu TZ.Ila waendelee kuumbuana kazi ya Chadema iwe rahisi 2015.Msidanganywe na magamba yanapigiana kampeni kiaina.
 
Foolz kwan waislam hawafai kuwa viongoz?mbona wakristo wako kila kona ya uongz hamsemi?
 
Hii kitu wala haihitaji rocket science kujua kama madai yana ukweli au ni chuki zenu tu.
Baraza la mawaziri wakristo wengi kuliko waislamu
Manaibu waziri wakristo wengi kuliko waislamu
Makatibu wakuu wakristo wengi kuliko waislamu
Manaibu katibu wakuu wakristo wengi kuliko waislamu
Wakuu wa Mikoa wakristo wengi kuliko waislamu
Wakuu wa Wilaya wakristo wengi kuliko waislamu
Wakuu wa mashirika wakristo wengi kuliko waislamu

The list is endless, je niendelee?

Kama ni udini basi anapendelea wakristo!
 
Ukweli ukabila unatumika sana. Nivizuri huyu kautamka hadharani, ni vizuri tuchukue hatua kabla hatujachelewa.

Hata hivyo sisiemu itajuta kwa nini imechokoza mapacha watatu. Kazi bado mbichi. Kaeni mkao wa kusikila.
 
asante mkuu.. zote ni commments tu... nimefuatila sana comments zako unazoandika kiingereza nikagundua kuwa huandiki kiiingerza cha kisomi ( cha kucommunicate ) bali unaleta mambo ya english course tu hapa jamvini kwa kujifanya unaandika mabombastiki. unaleta enzi za debate za sekondarim,ilikuwa ukionge vingereza vigumu watu wanafikiri kwambawewe ndo mjuajji... after all hata comments zako ni za ajabuajabu tu,hazina mshiko!!!!!
Anasoma kamusi kwa sasa, mwache aonyeshe ujuzi, kuna wanayopenda na kumuelewa vizuri, hopeful
 
Nadhani hapa tuwe watanzania zaidi ya huo Udini,Ukabira na Ushkaji. Kama wewe una akili timamu basi utaondokana na mtizamo na fikra hasi za Udini na Ukabila.
Ndugu zangu Ushikaji ndio unaotumaliza Watanzania, yaani kujuana na kupeana peana tu vitu. Kwani hujasikia Waislam wanagombana misikitini wenyewe kwa wenyewe? Hujaona Viongozi wa Makanisa wanavyopelekana mahakamani na kupingana? Hapa namaanisha ukabila na Ushkaji pia upa kwenye dini na kupeanapeana madaraka ndo chanzo.
Sasa basi Ushikaji ndio adui mkubwa ambapo ndani yake pia ndo kunakuja Ukabila na favouritism,mapenzi N.K
Nchi yetu hii miaka hamsini sasa Wakristo wawili na Waislamu wawili wameiongoza na hawajafanya kitu. Kila mtu amezingua, sasa unadhani Uislamu na Ukistro wakipendeleana kidini wanajenga taifa? Ingekuwa ndio tusingekuwa hapa na umri wetu wa nusu karne.
Jamani tulipeleke taifa mbele kwa kupinga mfumo mbaya wa Utawala, wakae watu wenye uwezo wa kiutendaji na sio kukaa kwa kiushkaji.
 
Back
Top Bottom