assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.
Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.
Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.
Najua unapita hapa kusoma thread.
Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.
Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.
Najua unapita hapa kusoma thread.