Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,301
- 5,529
Hii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.
Amenena vema!Hii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816
Huyu mama ana busara sana hapa anajaribu kueleza hali halisi indirectlyHii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816
Kesho anatumbuliwa.Hii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816
Unafiki wa chuo!Mama la mama anafunguka ya kumoyo kiroho safi maana yapo mengi asiyotakiwa kuyasema.
Mama ana huruma sanaHii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816
Hii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816
Mama samia,
Raia tunakuelewa sana, tatizo mfalme wenu ndio anawaangusha. Mungu akuongoze ukatae "UMAKAMO WA RAIS" kwenye uchaguzi ujao. Linda heshima na utu wako. Waachie watapia "TUMBO" wagombanie vyeo serikalini.
Nchi ina "MAABARA" moja tu ya COVID-19, ni aibu kubwa sana. Watawala wanatumia mabavu kupeleka hela nyingi kwenye kujenga SGR, ila sio kupambana na kuokoa maisha ya raia.
Tumesikia kule "CHATTLE" imepigwa "LOCKDOWN" ya maana, hakuna hata baiskeli kuingia wala kutoka, achilia mbali magari na pikipiki. Ila nchi inaangamia kweli kweli, raia wanakufa bila kuchagua watoto wala wajawazito, Mfalme anatuambia sisi raia na mawaziri tuendelee na wala tusiogope "COVID-19" haina madhara (Cha ajabu yeye kakimbia ofisi yake, licha ya kumlipa mshahara kutoka kwenye "KODI" zetu walala hoi).
Tunaambiwa tusiogope kufanya kazi, eti kisa tutashindwa kujenga SGR. Katika nchi yetu utawala huu tumegeuka kuwa "WATUMWA", pesa inathaminiwa kuliko "UHAI".
Mungu ibariki tanzania, waadhibu madhalimu.
Hao ambao kila tukiamka wamelala mpaka wanamuogopesha VP ndo hao 16?Hii ni kudhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo.View attachment 1437816