beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesaini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya kutuma na kutoa Fedha na kupunguza viwango vya tozo kwa 30%
Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa 10%
Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi Septemba 01, 2021
Taarifa Kamili:
Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa 10%
Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi Septemba 01, 2021
Taarifa Kamili: