Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,053
- 33,906
Habarini Wadau,
Huyu mama (Makamu wa Rais) nampenda sanaa (Upendo wa agape) na nafurahi sana kila niionapo sura yake.
Yaani kila anachoongea ni point n again most of her words has logics.
Mfano leo amesema kuwa Viwanja vya michezo vilivyopotezwa virudishwe tena na kama viliuzwa, waliouza kihuni wakanunue kwingine.
Pia amekuwa akistick zaidi katika wizara muhimu sana ya "AFYA" na kusisitiza huduma bora za afya zetu.
-Hana roho mbaya
-Anajali Maslahi ya Umma
-Ana "UTU"
-Ana Hofu ya Mungu
-Hana Ushamba wa kiboya
-Nina uhakika hana Maadui wengi (hasa wananchi) hapa nchini.
Mungu akubariki mama yetu na Tunakuombea.
Huyu mama (Makamu wa Rais) nampenda sanaa (Upendo wa agape) na nafurahi sana kila niionapo sura yake.
Yaani kila anachoongea ni point n again most of her words has logics.
Mfano leo amesema kuwa Viwanja vya michezo vilivyopotezwa virudishwe tena na kama viliuzwa, waliouza kihuni wakanunue kwingine.
Pia amekuwa akistick zaidi katika wizara muhimu sana ya "AFYA" na kusisitiza huduma bora za afya zetu.
-Hana roho mbaya
-Anajali Maslahi ya Umma
-Ana "UTU"
-Ana Hofu ya Mungu
-Hana Ushamba wa kiboya
-Nina uhakika hana Maadui wengi (hasa wananchi) hapa nchini.
Mungu akubariki mama yetu na Tunakuombea.