Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,814
- 18,793
Makamu wa rais Samia Suluhu Hassan, amesema pamoja na wadhfa alionao, lakini mbele ya mume wake atapiga goti ili kuonesha mahaba aliyonayo kwake.
Alikuwa akiwaambia wanawake kuwa hawako sawa katika nyanja zote za kijamii na wanatakiwa kutunza mila na desturi nzuri, na kuelezea kuwa hapigi goti kwa sababu ni 'inferior' ila nikuonyesha mapenzi na huba.
Alikuwa akiwaambia wanawake kuwa hawako sawa katika nyanja zote za kijamii na wanatakiwa kutunza mila na desturi nzuri, na kuelezea kuwa hapigi goti kwa sababu ni 'inferior' ila nikuonyesha mapenzi na huba.