Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pamoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lakini bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake.
Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.
Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.
Be humble, you will not stumble.
Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.
Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.
Be humble, you will not stumble.