Mama Samia ni rais lakini bado ana mume, wewe mshahara laki 3 unamtosa mumeo ili uwe single mama!

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,518
50,254
Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pamoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lakini bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake.

Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.

Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.

Be humble, you will not stumble.
 
Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pqmoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lkn bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake.

Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.

Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.

Be humble, you will not stumble.
Ila mama umri ushaenda kutokufanya hayo haiashangazi
 
Kila pande kuna ushuzi tu mbona kuna wanaume tunaanza zero na wanawake kimaendeleo lakini mambo yanapokuwa mazuri tunawasahau pamoja na kuvumilia ahadi hewa zetu? Mambo mengine ni busara za mhusika
Period
 
Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pqmoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lkn bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake.

Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.

Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.

Be humble, you will not stumble.
Ngoja waje mkuu.
 
Msisahau kutuma na ya kutolea....

Hela ya mwanaume huliwa na mwanamke...

Hela ya mwanaume taamuu, nikipewa sijivungi wala siikati... ila katu siombi....

Mahaba ndo mpango mzima, tulishane tukishiba kila mtu akalale kwake... wenye ndoa mzitunze.

Ajuza Matata K.
 
Vichupi unjano shemkupule mapesa ngoja waje wakupe povu la laki mbili oooohooooo
Shauli yako,shauli yako weeeeeee


Ila madame wetu kichwa aisee daaa
Yaani ukipata wife material kama yeye hata kufa utavuta vuta kimtindo japo ka kiinua mgongo utakula sasaaa
Upate wale Dada zetu wa kuleeee kwenye kilele cha Afrika,
Mankaaaaaaaaaaaaaa Zuma

Wifwa wilola mgoyo

Wanyalu mshanielewa hiyo lugha

(Utakufa unajiona mwanaume)
 
Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pqmoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lkn bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake.

Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi uanza vituko navitimbi kuwadharau na kunyanyasa waume zao na kupelekea ndoa kuvunjika.

Utakuta mke anarudi nyumbani muda anaotaka, ukimsemesha anabinua midomo utadhani kidari cha kuku wa ofa. Maneno ya shombo na machafu yatamtoka mwanakwetu utadhani shimo la choo cha stendi.

Be humble, you will not stumble.
Mkuu unauhakika gani anamuheshimu mumewe, usikute mwanaume mwenzetu kakubali kuwa mpole maisha yaendelee

Waswahili wanasema, ukiona ndoa imedumu muda mrefu, ujue mmoja wapo kakubali kuwa mjinga
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom